• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

CHONGOLO AWAKUMBUSHA WAZAZI KUSIMAMIA MAADILI YA VIJANA

Posted on: March 3rd, 2023

Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndg. Daniel Chongolo amekemea Baadhi ya Wazazi na Walezi nchini ambao wameshindwa kusimamia na kuwaongoza Vijana wao kuzingatia Suala la Maadili hususani Tabia zao na Mavazi wanayovaa.


Kauli hiyo ya Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ameitoa Singida Vijijini katika Kijiji cha Mtinko, baada ya hoja ya maadili kuibuliwa na Mzee Emmanuel Mgoya aliyehudhuria kikao cha Shina namba 2 ambacho Katibu Mkuu alihudhuria.


Akizungumza mbele ya Katibu mkuu wa CCM, Mzee Mngoya ameeleza kuhuzunishwa na Kuporomoka kwa maadili ya Vijana wa kiume na Watoto wa Kike na


"Ndugu Katibu Mkuu wa CCM Sasa hivi hali imekuwa mbaya mbaya mno kwa Wanawake wanavaa Uchi na Hawana Mavazi ya Staha, Jambo hili linanikera mno, ninakuomba Umwambie Rais Mama Samia Suluhu Hassan kwamba huku mtaani Baadhi ya Wanawake wanatembea Uchi" amesema Mzee Mngoya.


Akijibu hoja na Maelezo ya Mwananchi huyo wa Kijiji cha Mtinko, Katibu mkuu Chongolo amesema Tanzania imejengwa kwa misingi mizuri ya Maadili, ambapo Wazazi na Walezi wanapaswa kubadilika kwa Kuhakikisha Wanasimamia Maadili ya Vijana wao ili kuenenda vyema na Maadili ya Kitanzania.


"Siku hizi Vijana wetu hasa wa kike akitoka nyumbani anavaa vizuri kajifunga na kanga, kumbe akitoka ile kanga anaitia kwenye mkoba halafu anabaki na mavazi ya ajabu, Hii ni Aibu hata ukikutana nae mtaani, lazima tubadilike lazima tuenzi na kulinda Utamaduni wa Mtanzania leo, kesho na Keshokutwa" amesema Katibu Mkuu Ndg. Chongolo.

Katibu mkuu wa CCM Daniel Chongolo anaendelea na Ziara yake mkoani Singida akiambatana na Katibu wa NEC itikadi na Uenezi wa Chama Ndg. Sophia Mjema pamoja na Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Oganaizesheni Ndg. Issa Haji Gavu.



Mwisho.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.