• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Chuo cha Taifa cha Ulinzi wafanya ziara Singida

Posted on: January 16th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba leo amepongeza jitihada zinazofanywa na Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC) za kutembelea miradi mbalimbali inayotekelezwa katika Mkoa huo ikiwa ni  sehemu ya Mafunzo ya wanachuo hao ili kuona, changamoto na mafanikio mbalimbali  katika miradi hiyo.

Pongezi hizo amezitoa leo katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa alipokutana na viongozi na wanafunzi wa chuo hicho ambao watatumia wiki moja kutembelea kiwanda cha kuchakata pamba, vikundi vya vijana, migodi mbalimbali ya madini na baadhi ya mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali.

Akitoa taarifa ya awali kuhusu maendeleo ya Mkoa huo RC Serukamba amewaeleza kwamba Mkoa umeongeza eneo la kilimo kupitia wakulima wadogo na wakubwa kwa ajili ya kuongeza uzalishaji wa Alizeti ambapo inatarajiwa kuvunwa kwa wingi msimu huu.

Aidha Serukamba akijibu swali la Mwanafunzi mmojawapo katika ziara hiyo ya Wanachuo aliyetaka kujua kama kuna migogoro ya wakulima na wafugaji na namna inavyotatuliwa ambapo RC Serukamba ameeleza kwamba Mkoa unatekeleza mipango ya matumizi Bora ya ardhi na wameimarisha ufuatiliaji wa karibu unaofanywa na viongozi wa Kata na Tarafa ambayo imesaidia kupunguza migogoro hiyo.

Hata hivyo RC Serukamba amekiri kwamba ziara hiyo itasaidia kuleta chachu kwa watendaji katika kuimarisha usimamizi na ufuatiliaji wa kazi za Serikali kwa weledi.

Kwa upande wake Mkuu wa Chuo hicho Meja General Ibrahimu Michael Mhona amesema ziara yao Mkoa wa Singida ni ya wiki moja katika Wilaya za Singida Mkalama Ikungi Itigi na Manyoni na italeta matokea makubwa kwa kuwa taarifa hizo zinatumika katika kuwashauri viongozi mbalimbali.

Ameendelea kueleza kwamba ziara hiyo ambayo inatekelezwa kwa nchi nzima ambapo wamegawana makundi mbalimbali ambayo yanakagua mambo ya usalama, uchumi, kilimo na mambo mbalimbali ya kijamii.

Mwisho.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.