• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Eneo la kilimo cha alizeti mwakani kufikia ekari Milioni moja Mkoani Singida - Serukamba

Posted on: April 13th, 2023

Mkoa wa Singida umejipanga kuongeza eneo la uzalishaji wa Alizeti kutoka ekari 631,931 mpaka kufikia ekari Milioni moja (1,000,000) kwa kutumia wakulima wadogo wakati, wakubwa na vikundi ili kuongeza uzalishaji wa Mafuta ya alizeti.

Kauli hiyo imetolewa leo na Mkuu wa Mkoa huo Peter Serukamba wakati akihutubia katika mkutano wa ALAT uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Ikungi na kuhusisha wenyeviti wa Halmashauri Sita, Madiwani wawili kwa kila Halmashauri na Wakurugenzi.

Amesema zao la Alizeti ndio kitambulisho cha Mkoa huo hivyo ni jukumu la kila mmoja kuhakikisha eneo la kilimo linaongezeka ambapo RC amebainisha kwamba ushirikiano wa viongozi wa vijiji na kata pamoja na Maafisa kilimo kuhakikisha wanahamasha wakulima kuongeza maeneo na vijana kuwekeza katika Kilimo.

Aidha amefafanua kwamba ukuaji kwa kasi jiji la Dodoma kunatoa fursa kwa Mkoa wa Singida kuzalisha mazao ya chakula na mafuta kwa kasi huku akibainisha kwamba ufunguliwaji wa barabara za Singida Mbeya, Singida, Arusha, Singida, Tanga litaongeza soko na ukuaji mkubwa wa Mkoa huo.

RC Serukamba amefafanua kwamba mpaka kufikia msimu wa kilimo wa mwaka kesho Singida kutakuwa na wakulima wa aina Tatu ambao ni wakulima wadogo, wa Kati na wakubwa watakaolima zao la alizeti ili kukidhi haja ya soko ambalo mpaka sasa bado halijatengemaa.

Hata hivyo amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Ikungi Justuce Kijazi kwa kutenga eneo lenye ukubwa wa ekari elfu 50 kwa ajili ya kutekeleza Mradi wa kilimo cha pamoja unaotekelezwa na Wizara ya Klimo kwa vijana "build better Tomorow" ambapo RC Serukamba amesema taratibu za kufanya uchambuzi wa kina utaanza ili kujenga Miundombinu ya Umwagiliaji.

Akimalizia hotuba yake amewaagiza Wakurugenzi wote wa Halmashauri kuhakikisha wanatumia fedha walizopewa kwa manufaha kabla ya tarehe 30 Juni na kuhakikisha  hakuna fedha inayobaki.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.