• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

HALI YA HEWA YA MKOA WA SINGIDA YATAKIWA KUTUMIWA KAMA FURSA NA SIO KIKWAZO

Posted on: September 25th, 2025

Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida, Dkt. Fatuma Mganga, amewataka viongozi na wadau wote wa kilimo mkoani hapa kuweka mikakati thabiti ya kuwaelimisha wakulima ili waweze kuingia na kuchochea mpango wa kilimo hai kwa lengo la kuongeza uzalishaji wa mazao maradufu.

Dk. Mganga amesema hayo wakati akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mhe. Halima Dendego, katika ufunguzi wa mkutano wa wadau wa kilimo (Multi-Stakeholder Dialogue) uliofanyika mjini Singida.

Mkutano huo ulihusisha viongozi wa serikali, sekta binafsi, mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs), na wakulima, ambapo wadau walijadiliana juu ya fursa na changamoto za kilimo endelevu, kwa kuzingatia nguzo tatu kuu: watu (people), mazingira (nature), na uchumi (economy).

Akizungumza kwenye kikao hicho, Dkt. Mganga amesema Mkoa wa Singida ni miongoni mwa wazalishaji wakuu wa mazao ya biashara na chakula nchini, ikiwemo alizeti, pamba, karanga na mahindi, hivyo iwapo mikakati thabiti itawekwa ya kuwaingiza wakulima katika mpango wa kilimo hai, kutaongeza uzalishaji na kulinda mazingira ya mkoa huo.

Kwa upande wao, wakulima walioshiriki mkutano huo walieleza furaha yao kushirikishwa moja kwa moja katika majadiliano, jambo walilosema linaongeza uelewa na nafasi yao kushiriki katika mchakato wa kutengeneza sera za kilimo ngazi ya mkoa.

“Leo nimefurahishwa sana kuona sisi wakulima wa Singida tumewekwa pamoja na serikali, sekta binafsi na mashirika kama HELVETAS Tanzania. Kupitia mazungumzo haya tumejifunza njia za kulima kijani zinazolinda ardhi na maji, huku pia zikiongeza kipato chetu. HELVETAS na wadau wengine wametufundisha mbinu bora, wametupa mbegu na hata kutuunganisha na masoko. Mimi binafsi nimeona mavuno yangu yakiongezeka na ninaamini Singida inaweza kuwa kiongozi wa kilimo hai Tanzania.”

Mashirika yaliyojitokeza kushirikiana na serikali na wakulima katika kikao hicho ni pamoja na Regenerative Production Landscape Collaborative (RPLC), Laudes Foundation, GIZ na HELVETAS Tanzania, ambapo wote walionesha dhamira ya kusaidia wakulima kupitia elimu, teknolojia, na sera shirikishi zinazochochea kilimo cha kijani.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HALI YA HEWA YA MKOA WA SINGIDA YATAKIWA KUTUMIWA KAMA FURSA NA SIO KIKWAZO

    September 25, 2025
  • MRADI WA MABWAWA YA KUTIBU MAJITAKA KUKAMILIKA OKTOBA,WANANCHI KUNUFAIKA

    September 23, 2025
  • CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA SINGIDA MBIONI KUHAMIA MAJENGO MAPYA.

    September 23, 2025
  • "MSITUMIE NYUMBA ZA IBADA KUHAMASISHA VURUGU":RC DENDEGO

    September 21, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.