• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Manyoni watakiwa kupima viwanja ili kufidia madeni.

Posted on: March 22nd, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida imeelekezwa kutafuta eneo na kupima viwanja ili vigawiwe kwa wananchi ambao wanaidai Halmashauri hiyo na watakao kataa waendelee kusubiri fedha za fidia.

Kauli hiyo imetolewa leo na Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba baada ya kusomewa  taarifa na kamati aliyokuwa ameichagua ikiwa na lengo la kushughulikia migogoro kumi (10) ya ardhi, kamati ambayo imebainisha kwamba wapo wananchi ambao wanatakiwa kulipwa fidia ya viwanja vilivyochukuliwa na Halmashauri hiyo.

RC Serukamba amesema Halmashauri hiyo ishirikiane na Mwenyekiti wa Halmashauri Jumanne Mlagaza  pamoja na Madiwani wote ili kupata eneo hilo  ambapo watatakiwa kuhakikisha miundombinu muhimu inafikishwa katika eneo hilo.

Aidha amesema atawasiliana na Shirika la ugavi wa Umeme  TANESCO, Wakala wa Barabara za mijini na Vijijini TARURA  na  Wakala wa Usambazaji maji na usafi wa Mazingira Vijijini RUWASA ili kutafuta namna ya kupeleka miundombinu hiyo katika eneo litakalochaguliwa na Halmashauri hiyo.

Hata hivyo Serukumba amefafanua kwamba viwanja hivyo vitagawiwa kwa walengwa kulingana na madai yake na haitakuwa lazima ila kwa mtu atakekubali huku akibainisha kwamba atakaye kataa atapewa fedha zake za fidia kama ilivyokubalika.

Awali akitoa taarifa ya kamati Kamishina wa ardhi Mkoani hapo Shamimu Hoza amesema migogoro mingi ya ardhi Wilayani hapo inasababishwa na taasisi zinazohusika kutowasiliana katika umilikishaji wa ardhi na upangaji wa vijiji ambapo vingine vimekuwa ndani ya hifadhi jambo ambalo linasababisha kutokea kwa migogoro.

Aidha ametoa angalizo kwa wananchi hao kwamba kufyeka pori hakutoi umiliki wa eneo hivyo kila mwenye uhitaji wa ardhi anapaswa kufuata njia zinazostahili ili kupata eneo.

Kamati hiyo ilikuwa ikichunguza migogoro kumi 10 ya ardhi kwenye eneo la viwanja mashamba na mauaji ya wananchi yenye sura ya kishirikiana na imani potofu.

Mwisho

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.