• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

MWENGE WA UHURU SINGIDA KUPITIA MIRADI YA BILIONI 62.6

Posted on: July 19th, 2025

Miradi yenye thamani ya zaidi ya Sh.Bilioni 62.6 iliyojengwa katika halmashauri saba za zilizopo katika Mkoa wa Singida inatarajia kuzinduliwa na kukaguliwa na Mwenge wa Uhuru 2025 ambao utakimbizwa kwa siku saba mkoani hapa.

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mhe.Halima Dendego, akitoa taarifa leo kwa kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa mwaka huu, Ismail Ally Ussi, baada ya kuupokea katika kijiji cha Sagara Halmashauri ya Wilaya ya Singida ukitokea Mkoa wa Manyara.

 Amesema katika miradi hiyo mchango wa serikali kuu ni asilimia 92,asilimia 6.7 wahisani, halmashauri asilimia 1 na wananchi ni asilimia 0.2.

Mhe.Dendego amesema Mwenge wa Uhuru ukiwa katika Mkoa wa Singida utakimbizwa jumla ya kilometa 842.6 katika halmashauri zote saba za mkoa huu na kwamba kila eneo wananchi wamejipanga kuupokea.

Akizungumzia kuhusu uchaguzi Mkuu unaitarajia kufanyika Oktoba mwaka huu alisema mkoa umejipanga vizuri ambapo asilimia 99.6 ya wananchi wa Singida wamejiandikisha kwa ajili ya kushiriki uchaguzi huo.

Mhe.Dendego alisema katika kipindi cha utawala wa serikali ya awamu ya sita mkoa wa Singida umeweza kupokea Sh.trilioni 1.7 ambazo zimetumika katika utekelezaji wa miradi mbalimbali kwenye sekta ya elimu,afya,barabara na maji.

Naye kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2025, Ndugu Ismail Ussi, ametoa wito kwa  wananchi kuiishi kaulimbiu ya mwenge wa Uhuru kitaifa mwaka 2025 kwa kuhakikisha wanashiriki uchaguzi mkuu kwa amani na utulivu

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • "ARDHI NI MAISHA – TUIKUMBATIE KAMA URITHI WA VIZAZI VYETU" : RC HALIMA DENDEGO

    July 21, 2025
  • MWENGE WA UHURU SINGIDA KUPITIA MIRADI YA BILIONI 62.6

    July 19, 2025
  • AJALI YA MOTO SOKO KUU SINGIDA YATAFUTIWA UFUMBUZI

    July 06, 2025
  • SINGIDA YATAMBA KWA MAFANIKIO LUKUKI CHINI YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA

    July 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.