• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

*NIMEFIKA KWA AJILI YA KUTATUA KERO ZENU"RC DENDEGO.

Posted on: November 7th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Singida,Mhe.Halima Dendego amefanya ziara ya ukaguzi miradi na kusikiliza kero za wananchi katika Halmashauri ya Wilaya ya Itigi,Kata ya Rungwa,Kalangali,Mwamagembe na Mitundu iliyoanza siku ya Jumanne Novemba 4,2024

Hayo yamejumuisha ukaguzi wa miradi mbali mbali ikiwemo ukaguzi wa zahanati mpya ya Itumba,ukaguzi wa nyumba za watumishi,kukagua mradi wa ujenzi wa Sekondari mpya ya Kalangali katika ziara hiyo.

Miongoni mwa kero zilizowasilishwa na wananchi ni uchache wa watumishi na vitendea kazi mashuleni na katika taasisi za afya,uhitaji wa umeme na maji,barabara,mahitaji ya mbolea na mbegu za ruzuku.Pia malipo ya wakati kwa watumishi na usikivu wa Redio katika maeneo hayo yenye usikivu hafifu yaliwasilishwa na wananchi ili kutatuliwa na Mkuu wa Mkoa.

Akizungumza na wananchi katika maeneo tofauti,Mkuu wa Mkoa Mhe.Halima Dendego ameahidi utatuzi wa kero hizo mbali mbali kwa wananchi ikiwemo kero ya umeme katika maeneo hayo na kuagiza utekelezaji wake ndani ya siku saba katika kata ya Rungwa katika eneo la Sekondari.

Pia,amewaagiza maafisa kilimo kuhakikisha wanatoa elimu kwa wananchi kuhusu suala la mbegu,pembejeo,dawa za kuua wadudu na mbolea za ruzuku ili kuwapa uelewa juu ya suala hilo na kuwashauri wananchi kujiandikisha katika daftari la pembejeo za kilimo ili kuweza kufaidika na huduma hizo zenye gharama nafuu kwa kusambazwa na mawakala na vyama vya msingi.

"Nitoe rai kwa wananchi kujiandikisha katika daftari la kilimo bure kabisa bila malipo ili kuweza kupata huduma ya mbegu,mbolea za ruzuku,viuatilifu pamoja na pembejeo kwa bei nafuu kabisa kwa maendeleo makubwa ya kilimo."alisema Dendego

Sambamba na hilo,Mkuu wa Mkoa ameagiza utekelezaji imara wa Shule ya Sekondari Mpya ya Kalangali iliyopo katika hatua za awali za ujenzi,huku akitoa muda kwa wahusika wa ujenzi wa nyumba ya mtumishi na zahanati ya Itumba kuhakikisha inakamilika katika viwango bora zaidi kuliko ilivyo sasa.

"Serikali imewekeza fedha nyingi katika kuhakikisha huduma bora zinawafikia wananchi hususani katika utoaji wa fedha za kutosha za ujenzi wa nyumba za watumishi na zahanati pia,hivyo ni jukumu letu kuhakikisha zinajengwa kwa ubora wa hali ya juu zinazosadifu gharama zinazotolewa"alisema Mhe.Dendego.

Charles Clement Mgama na Stephano Minja wananchi kutoka kata ya Rungwa ni miongoni mwa wananchi walifurahia ujio wa Mkuu wa Mkoa wa Singida katika wilaya ya Itigi wakisema wana imani kubwa kuwa changamoto zao zinakwenda kupatiwa ufumbuzi wa kero mbali mbali.

"Ujio wa Mkuu wa Mkoa utaleta ufumbuzi katika changamoto zetu nyingi ikiwepo changamoto ya umeme,maji,barabara,utatuzi wa migogoro ya ardhi,watumishi na nyinginezo kwani tunaamini zimefika kwa mtu sahihi ambaye ni daraja kati yetu na serikali kuu"alisema Mgama.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.