• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

PATO LA MKOA WA SINGIDA LIMEONGEZEKA NA KUFIKIA TRIL 3.

Posted on: February 19th, 2023

MKUU wa Mkoa wa Singida, Peter Serukamba, amesema pato la Mkoa huo (GDP) limeongezeka kutoka Sh. Trilioni 2.8 mwaka 2020 hadi kufikia Sh. Trilioni 3 kwa mwaka 2021.

Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Ilani kwa kipindi cha miezi sita leo (Februari 19) kwenye kikao maalum cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, amesema wastani wa pato la kila mtu kwa mkoa huu limeongezeka kutoka Sh.1,651,785 mwaka 2020 na kufikia Sh.1,721,195 mwaka 2021.

Serukamba amesema kumekuwa na ongezeko la mpango wa bajeti ya Mkoa wa Singida kutoka Sh.199,170,767,000 kwa mwaka 2021/2022 hadi kufikia Sh.239,808,971,000 mwaka 2022/2023.

Naye Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida, Martha Mlata ambaye aliongoza Kamati ya Siasa ya Mkoa kukagua miradi inayotekelezwa mkoani Singida, amesema CCM imeridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika mkoa huo na kwamba hiyo imetokana na ushirikiano mzuri kati ya chama na viongozi wa Serikali.

MATUKIO KATIKA PICHA

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida Martha Mlata akitoa pongezi kwa viongozi wa Serikali Mkoa wa Singida kutokana na utekelezaji mzuri wa Miradi ya Maendeleo mkoani hapo wakati wa kikao maalum cha Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa kupokea taarifa ya utekelezaji wa Ilani kwa kipindi cha Julai 2022 hadi Disemba 2022 kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Singida Februari 19, 2023.Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida Lucy Boniphace akitoa taarifa kwa viongozi wa Serikali Mkoa wa Singida na wajumbe wa kikao cha Halmashauri kuu CCM Mkoa kutokana na ziara ya Kamati ya Siasa Mkoa kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa mkoani hapo.

Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kipindi cha Julai 2022 hadi Disemba 2022 wakati wa kikao maalum cha Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa  kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Singida Februari 19, 2023.

Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dorothy Mwaluko akizungumza jambo wakati wa kikao maalum cha Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa  kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Singida Februari 19, 2023.

Kikao kikiendelea

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.