• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

RC DENDEGO AAGIZA WANAFUNZI WATAKAOKUTWA NA MIMBA SHULENI KUKAMATWA

Posted on: April 20th, 2024

Mkuu wa mkoa wa Singida Mheshimiwa Halima Dendego ameagiza kukamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria kwa wanafunzi wa kike wanaopata mimba wakiwa shuleni kama hatua ya kukomesha tatizo hilo ambayo limeonekana kuwa ni kero kubwa katika maendeleo ya sekta elimu mkoani Singida.

Dendego ametoa kauli hiyo (tarehe 20 Aprili, 2024) katika ziara yake ya kikazi ya Siku Mbili katika Halmashauri ya wilaya ya Itigi wakati anakagua ujenzi wa nyumba ya mwalimu na kuzungumza na Jumuiya ya wanafunzi katika Shule ya Sekondari ya Kitaraka wilayani humo.

Mkuu wa mkoa wa Singida amesema ili kukomesha tatizo hilo yeye ataanza kukamata kwanza msichana aliyepata mimba na baadaye mvulana ambaye atakuwa mtuhumiwa namba mbili kama hatua ya kukomesha vitendo vya mimba kwa wanafunzi.

“Nikikuta msichana umepata mimba wewe utakuwa mshtakiwa namba Moja na wewe ndio utakayeenda jela bila huruma na tumbo lako utajifungulia huko huko kwa sababu mna tabia ya ukipata mimba tunaenda kukimbizana na mtoto wa kiume si sawa wote mlishirikiana kwa hiyo yeye atakuwa mstakiwa namba mbili na msichana atakuwa mstakiwa namba Moja,” Amesisitiza Halima Dendego.

Mkuu wa mkoa wa Singida Mheshimiwa Halima Dendego, akishiriki katika ujenzi wa nyumba ya Mwalimu inayojengwa katika Shule ya Sekondari ya Kitaraka Halmashauri ya Itigi.

Naye, Katibu Tawala wa mkoa wa Singida Dkt. Fatuma Mganga amewasisitiza wanafunzi kusoma kwa bidii na kuwa mfano kwa wazazi na jamii nzima na kuachana na mambo yanaenda kinyume cha maadili ya Kitanzania.

Fatuma Mganga, amesema kuwa kama wanafunzi watasoma kwa bidii hadi Vyuo Vikuu watakuwa na faida kubwa sio tu kwa familia zao bali kwa jamii nzima na Taifa kwa ujumla kwa sababu Serikali imeboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia.

Mkuu wa mkoa wa Singida Mheshimiwa Halima Dendego, akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Kitaraka iliyopo Halmashauri ya Itigi mara baada ya kukagua ujenzi wa nyumba ya Mwalimu. 

Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dkt. Fatuma Mganga, akishiriki katika ujenzi wa nyumba ya Mwalimu inayojengwa katika Shule ya Sekondari ya Kitaraka Halmashauri ya Itigi.

======

 

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.