• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

RC Serukamba alia na wakwepa Kodi Singida

Posted on: June 28th, 2023

Wafanyabiashara Mkoani Singida wamesisitizwa kutoa na kudai  risiti halali wakati wa mauziano baina yao ili kuongeza mapato ya Serikali huku TRA wakitakiwa kutoa elimu juu ya umuhimu wa ulipaji kodi kwa hiari.

Akiongea jana tarehe 27.06.2023 wakati wa jukwaa la wadau wa Kodi Mkoani Singida lilofanyika katika ukumbi wa mikutano katika hoteli ya KBH iliyopo mjini Singida Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba, ameeleza kwamba wafanyabiashara wanatakiwa kuitendea haki nchi kwa kulipa kodi stahiki na kuhakikisha wanatoa risiti kulingana na kiasi cha fedha alichotoa mteja.

Aidha amesema inashangaza kuona Wafanyabiashara wanakaa kujadili namna ya kukwepa Kodi huku wengine wakiweka visingizio kwamba Kodi zinazotozwa sio rafiki kwa mfanya biashara.

Hata hivyo RC Serukamba amesema kuna haja ya kurekebisha sheria ya Kodi inayomtaka mfanya biashara mwenye mtaji usiozidi Tsh.Milioni Nne kwa kuwa wapo Wafanyabiashara ambao hugawanya mtaji makusudi na kuwa na maduka zaidi ya moja lengo likiwa kukwepa Kodi.

RC ameagiza TRA kuendelea kutoa elimu ya Kodi kwa wananchi na kuwafahamisha wananchi kwamba Serikali imeweka viwango vikubwa vya faini kwa lengo la kukomesha ukwepaji wa Kodi na sio sababu ya kuongeza mapato.

Maelezo hayo yalitokana na moja ya mjumbe aliyelalamika kwamba faini ya Tsh Milioni Nne kwa anayekamatwa kwa kuuza bila kutoa risiti ipunguzwe kwa kuwa inaruhusu mazungumzo yenye sura ya rushwa baina ya TRA na wafanya biashara.

Kwa upande wake Shekhe Mkuu wa Mkoa Singida Issa Nassoro, amewataka wananchi kulipa kodi kwakuwa kwa upande wa dini yao yeye aliifananisha na zaka hivyo kuomba timu ya TRA Mkoani hapo kuendelea kutoa elimu ili kufikia malengo yaliyokusudiwa.

Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Singida akizungumza wakati wa jukwaa la wadau wa Kodi Mkoani Singida

Meneja Msaidizi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Singida Hasan Ramadhani Mzee, akizungumza wakati wa jukwaa la wadau wa Kodi Mkoani Singida


Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.