• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

RC SINGIDA AAGIZA MADEREVA BAJAJI NA PIKIPIKI WASILIPE USHURU IWAPO HAWATAPEWA RISITI.

Posted on: April 26th, 2024

Mkuu wa mkoa wa Singida Mhe. Halima Dendego, amepiga marufuku madereva wa bajaji na pikipiki katika Manispaa ya Singida kulipa tozo yoyote bila kupewa risiti na mtu anayetoza tozo hizo kwakuwa ni kinyume na utaratibu wa Serikali.

Dendego, ametoa kauli hiyo (leo Aprili 25, 2024) kwenye Mkutano wake na Madereva wa Bodaboda na Bajaji katika Viwanja vya Bombadia kwa ajili ya kusikiliza kero zinazowakabili madereva hao na kuzitafutia ufumbuzi.

Amesema ni jambo la aibu kwa Watendaji wanaokusanya mapato ya Serikali na kutotoa risiti wakati msisitizo mkubwa wa Serikali ni kuwa malipo ya aina yoyote lazima mnunuzi apewe risiti halali ili Serikali ipate mapato kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo.

“Haiwezekani  kwa Serikali tuwe wa kwanza kutotoa risiti hilo halipo na haitawezekana tunataka haki bini haki, Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida ukakae na Mzabuni ili muweke utaribu wa kutoa risiti kama Serikali inavyoelekeza”. RC Dendego

Kuhusu mikopo ya Halmashauri, Mkuu huyo wa mkoa wa Singida amemwagiza Mkurugenzi wa Manispaa kukaa na Viongozi wa Madereva Pikipiki na Bajaji wa Halmashauri ya Manispaa hiyo ili awasaidie kuanzisha chama cha kuweka na kukopa – SACCOS - chama ambacho kitawasaidia kukopa fedha kwa ajili ya kununua vyombo vyao vya usafiri badala ya kuendesha vya watu hali ambayo itawasaidia kuboresha maisha yao.

Amesema kwa sasa chama chao kina wanachama zaidi ya 4,000 hivyo wanaweza kukopeshwa na kurejesha mikopo yao kwa haraka kama Watendaji watawasaidia kuanzisha SACCOS yao.

“Wakianzisha SACCOS yao wapelekeeni milioni 200 waweze kukopeshana wao kwa wao kwa sababu wanajua na ulipaji wao utakuwa ni rahisi kuliko kukopesha makundi mengine ambayo hayaeleweki kwani watajiimarisha kiuchumi kwa kununua vyombo vyao vya usafiri kwa sababu kazi wanaiweza” amesisitiza RC Dendego.  

Naye, Mwenyekiti wa Madereva wa Bodaboda na Bajaji Manispaa ya Singida Abdi Mitigo, amemshukuru Mkuu wa mkoa wa Singida kwa kukutana nao na kutatua kero mbalimbali ambazo zilikuwa zinawanyima usingizi na kushindwa kufanya kazi ikiwemo tozo na ushuru hivyo amesema kwa sasa watachapa kazi kwa raha bila usumbufu.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.