• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

SHEREHE ZA NANENANE KITAIFA MWAKA 2024 KUFANYIKA MKOANI DODOMA, RC DENDEGO AHIMIZA UWAJIBIKAJI

Posted on: April 8th, 2024

Kamati kuu ya kuratibu Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima maarufu kama Nane Nane kwa Kanda ya kati leo Aprili, 2024 imekutana Jijini Dodoma kwa ajili kupanga mipango mikakati ya kufanikisha maadhimisho hayo yanayotarajiwa kufanika kitaifa kwenye Mkoa wa Dodoma.

Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Halima Dendego akizungumza wakati wa kikao hicho amesema kikao hicho kimeonesha dira kwa kuwa wajumbe wamejipanga kikamilifu kuhakikisha maadhimisho hayo yanafana ambapo amewasisitiza kila kamati iliyopangwa ihakikishe inawajibika ipasavyo.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule, akizungumza wakati wa kufunga kikao hicho cha kwanza kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dodoma amewataka washiriki hao kushirikiana kwa pamoja katika maandalizi hayo ya maadhimisho ya Kitaifa kuanzia siku ya kwanza hadi siku ya mwisho.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mheshimiwa Rosemary Senyamule, akizungumza wakati wa kikao cha Kamati kuu ya kuratibu Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima (NANENANE) kilichifanyika katika ukumbi wa mikutano Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dodoma Aprili 8, 2024

“Kila mmoja awe sehemu ya maadalizi ili kuhakikisha lengo letu linatimia kwa Kiwango kile tunachotarajia katika sherehe hizi za Kanda ya Kati mwaka 2024" Amesema Mhe. Senyamule.

Kwaupande wake Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji Mkoa wa Dodoma Bi. Aziza Mumba, amesema kila mwaka (Agosti Mosi hadi 08), Serikali hufanya sherehe za Nane Nane kikanda ikienda sambamba na maonesho mahususi ya wakulima.

"Mkoa wa Singida na Dodoma inayounda Kanda ya Kati, kupitia sherehe hizi ina lengo la kutangaza fursa za uwekezaji, biashara sanjari na kusambaza taarifa za teknolojia na mbinu za Kilimo bora zinazoweza kuwawezesha wakulima kufanya kilimo cha kisasa na kupata mazao stahiki" Bi Mumba.

Kikao hicho kimeazimia mambo kadhaa ikiwemo; kamati ndogo ibainishe na kuongeza taasisi za Wizara ya Kilimo na Misitu, Taasisi za Misitu zihusishwe ipasavyo kwani Sekta ya Kilimo inahusisha Mazao, Mifugo, Uvuvi, Madini na Misitu, kuweka Kongamano la siku moja la Uwekezaji litakaloangazia fursa za Sekta zote, Kamati ziundwe na kuridhiwa mapema, Uwepo wa Utalii wa kutembelea miradi mikubwa inayoendelea kutekelezwa, Mpango kazi uwe na muda wa utekelezaji.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.