• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

SINGIDA NA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI MACHI, 8, 2024

Posted on: March 7th, 2024

Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dkt. Fatuma Mganga, ametoa wito kwa Wafanyakazi wa Serikali, wadau wa maendeleo, taasisi na wana Singida kwa ujumla kushiriki katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Mwanammke Duniani yatakayofanyika kimkoa katika viwanja vya standi ya zamani Wilayani Ikungi Machi 8, 2024 ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mhe. Mama Tunu Pinda Mke wa waziri Mkuu Mstaafu Mheshimiwa Mizengo Peter Pinda.


Aidha Dkt. Fatuma Mganga ametoa rai kwa jamii mkoani humo kuchukua hatua za makusudi kushughulikia masuala ya ubaguzi wa kijinsia, mifumo kandamizi na uonevu kwa Wanawake.Akiizungumzia siku ya Wanawake Dunia amesema kila (Tarehe 8 Machi) Dunia inaadhimisha Siku ya Wanawake. Hivyo kwa kuzingatia umuhimu wa mwezi Machi na maadhimisho hayo, Mkoa wa Singida kwa kushirikiana na Taasisi za Umma, Asasi za Kiraia, Wadau wa Maendeleo na Mamlaka za Serikali za Mtaa wamekuwa wakifanya mijadala yenye lengo la kuongeza idadi ya wanawake wa kuchaguliwa katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024.


Aidha Halmashauri mkoani hapa zimefanya maonyesho ya bidhaa za wajasiriamali haswa wanawake kama vile utengenezaji wa Batiki, Makongamano ya kuelimisha jamii kuhusu mmomonyoko wa maadili haswa Mashuleni.Pia Serikali ya Mkoa imefanya matendo ya huruma katika kituo cha Malaika wa Matumaini kilichopo Singida Mjini kwa kuwatembelea na kuwapatia zawadi watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu, imefanya maonyesho ya bidhaa zinazotengenezwa na vikundi vilivopatiwa mikopo ya Wanawake kwa Ngazi za Halmashauri.Sambamba na hayo mkoa umehamasisha elimu kutoka kwa wanawake waliofanikiwa, pamoja na kutoa vyeti kwa vikundi vya wanawake vinavyofanya vizuri katika marejesho ya Mikopo.


Dkt. Fatuma Mganga, amemalizia kwa kumshukuru na kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan, kwa kuwatia moyo na kuwapa kipaumbele Wanawake kwa nafasi mbalimbali za Uongozi wa juu kwa Mkoa wa Singida na Taifa kwa ujumla, mikopo nafuu kwa Wanawake vijana na watu wenye ulemavu ili kujikwamua kiuchumi kuhakikisha wanatimiza ndoto zao za kuleta maendeleo binafsi na nchi kwa ujumla.

Kauli Mbiu ya Maadhimisho kwa huu wa 2024 ni:

 ‘Wekeza kwa Wanawake Kuharakisha Maendeleo ya Taifa na Ustawi wa Jamii’

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.