• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Singida wapongezwa kusherehekea Muungano kwa kushiriki ujenzi

Posted on: April 26th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba amewapongeza wananchi wa Mkoa huo kwa kujitokeza kufanya kazi za mikono katika Ujenzi wa shule ya msingi Minga iliyopo Manispaa ya Singida ambapo wameweza kuchimba msingi katika vyumba 16 vya madarasa na shimo la choo pamoja na upandaji miti.

Akiongea katika hotuba baada ya kumaliza kazi, RC Serukamba amesema kazi hiyo imeleta tija kubwa kwa kuwa itasaidia wanafunzi zaidi ya 889 kupata sehemu za kusomea.

RC amesema jumla ya vyumba 16 vitajengwa kupitia mradi wa boost ambapo kila darasa amesema litagharimu shilingi Milioni 23 ambapo shule ya awali itagharimu Milioni 63.6

Aidha ameeleza kwamba majengo mengine ni jengo la utawala litakalogharimu Milioni 71.5 kichomea taka shilingi Milioni 5.7 matundu ya vyoo 18 yatakayo gharimu Milioni 1.7 fedha ambazo zimetoka kwenye Mradi wa Boost.

Akiwa katika uadhimishaji wa maadhisho hayo Serukamba ameagiza taasisi watu binafsi na mashirika kuhakikisha wanapanda miti na kufanya usafi kila sehemu huku akiwataka wananchi kutoa kodi za taka ili kusaidia maeneo yao kuwa safi.

Kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dkt. Fatma Mganga amesema Wilaya zote za Mkoa huo zimejumuika katika kushiriki ujenzi wa shule hiyo baada ya kufanya usafi na kupanda miti katika Wilaya zao hapo jana na juzi.

Amesema miradi hiyo ya shule imegawanywa katika wilaya ambapo zipo zilizopata shule mbili na nyingine shule moja kulingana na mahitaji huku akiwakumbusha Wakurugenzi kuendelea kuchongesha madawati ili yatakapokamilika yaweze kutumika kwa wakati.

Hata hivyo amezishukuru taasisi mbalimbali kwa namna mbalimbali ambavyo walivyosherehekea Muungano ikiwemo kupamba Ofisi zao na kufanya usafi maeneo yanayowazunguka.

Ameyashukru makampuni na taasisi za fedha ikiwemo NMB kwa kutoa mchango wao mkubwa wa vihifazia taka kwa lengo la kudumisha usafi.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.