• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Singida yaweka mikakati ya kufuta daraja sifuri katika shule za Sekondari

Posted on: November 16th, 2022

Mkoa wa Singida umeweka mikakati ya kuboresha elimu ya Sekondari ili kuhakikisha kwamba wanafuta daraja la mwisho (division zero) kuanzia mwaka huu 2022.

Kauli hiyo imetolewa leo na Mkuu wa Mkoa huo Peter Serukamba wakati akihitimisha Mkutano wa Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) uliofanyika katika ukumbi wa mikutano Chuo cha Uhasibu Mkoani hapo.

Amesema Serikali ya Mkoa imedhamiria kuinua kiwango cha elimu kwa kuhakikisha wanaanza kufuta daraja sifuri na hatimaye watafikia daraja la tatu.

Amesema ili kufanikiwa katika zoezi hilo ni lazima wazazi, walimu, wanafunzi na viongozi wa Dini na jamii kwa ujumla washirikiane na viongozi wa Serikali kuandaa na kutekeleza mkakati huo ili ulete matunda.

Kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa wa Singida Mwl. Dororthy Mwaluko amesema tayari ameshafanya kikao na Walimu wakuu wote na Maafisa elimu kata ambapo waliandaa viwango vya kuwapima kwa kila kata na kila kila shule.

Aidha amesema jumla ya shule za Sekondari 146 kati ya shule 168 za Serikali zimeandaliwa kutoa chakula cha mchana ili kuwavutia wanafunzi kuja shule na kupata nguvu ya kusoma.

Katibu Tawala Mkoa wa Singida Mwl. Dororthy Mwaluko, akizungumza wakati wa kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa Novemba 16, 2022

RAS ameendelea kusema kwamba mpango huo utaendelea kutekelezwa katika shule za Sekondari huku akibainisha kwamba kwa upande wa shule za msingi bado zoezi halijakaa sawa ambapo jumla ya shule 187 kati ya shule 609 ndizo zinazopata chakula.

Hata hivyo Mwaluko ameeleza kwamba jitihada nyengine walizofanya ni kuteua Wakuu wa shule katika shule mpya zilizojengwa na kufanya uhamisho wa walimu waliopo ili kukidhi haja ya upungufu wa walimu.

Akimalizia hotuba yake Mwaluko ameeleza kwamba Mkoa wa Singida umeanzisha mpango ujulikanao "Singida Digital Class" ambapo wanafunzi hutumia video za masomo yaliyorekodiwa ili kujifunzia hasa katika shule ambazo hazina walimu wa masomo husika.

Katibu Tawala Msaidizi  Mipango na Uratibu Mkoa wa Singida Beatrice Mwinuka, akizungumza wakati wa kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa Novemba 16, 2022

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Singida Victorina Ludovick, akizungumza wakati wa kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa Novemba 16, 2022


Kikao kikiendelea

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.