• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Sitamuelewa Yeyote Atakaye Sababisha Hoja, Upotevu wa Mapato - Serukamba.

Posted on: June 19th, 2023

Mkuu wa Mkoa Peter Serukamba, leo amelitahadharisha Baraza la Madiwani la Manispaa ya Singida kwamba yupo tayari kuingia kwenye mgogoro na yeyote ambaye atasababisha hoja za CAG kutofungwa, kulegalega kwenye makusanyo na kutofuatilia miradi ya maendeleo.

RC Serukamba ametoa tahadhari hiyo wakati wa Mkutano wa Baraza la maalum la Madiwani la Manispaa ya Singida lililoketi ili kupitia hoja za CAG Mkutano uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Manispaa ambapo zimefungwa hoja 20 kati ya hoja zilizoibuliwa.

RC Serukamba amesema Manispaa  hiyo ina uwezo mkubwa wa mapato ambapo ameeleza kuwa  inaweza kufikia mara mbili ya  fedha zinazokusanywa kwa sasa ambazo ni Milioni 500 kwa mwezi huku akiwataka Madiwani hao kupitia na kusimamia kila chanzo cha mapato ili kufikia malengo yaliyokusudiwa na hatamvumilia yeyote atakayekwamisha makusanyo na kusababisha hoja za ukaguzi.

Aidha, Serukamba ameelekeza kwamba Madiwani washirikiane na wakuu wa Idara ili kufunga hoja zilizobaki na kuhakikisha wanakutana kila mwezi kufanya uangalizi wa mashaka ya kibenki ‘Benk Reconciliation’ ili kuepuka kuzalisha hoja.

Hata hivyo ameagiza kuendela kuboresha hali ya usafi katika maeneo mbalimbali huku akimtaka kutungwa sheria ndogo ambazo zitawabana wanaotupa taka hovyo ikiwa ni pamoja na kutoza faini kubwa jambo ambalo litaongeza mapato ya Manispaa.

Kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dkt. Fatma Mganga amewataka kuendelea kusimamia miradi ya maendeleo na kuhakikisha hazizalishi hoja.

RAS amewataka kuhakikisha kwamba wanaendelea kupunguza hoja kwa kuzifunga ambapo anaamini kwamba zitapungua hadi kufikia tatu ambazo ni za kisera.

Mwisho

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.