• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

STAKABADHI GHALANI YAJA MIKAKATI CHANYA YA UTEKELEZAJI.

Posted on: March 11th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe.Halima Dendego ameongoza kikao cha tathmini ya utekelezaji wa mfumo wa Stakabadhi ghalani katika msimu wa mwaka 2023/2024 pamoja na maandalizi ya msimu wa 2024/2025 kwa lengo la kutathmini matokeo, changamoto na faida za mfumo huo wa uuzaji wa mazao.

Awali akiwasilisha taarifa ya utekelezaji,Katibu Tawala Msaidizi sehemu ya uchumi na uzalishaji Bw.Starnslaus Choaji amesema kuwa jumla ya maghala saba (7)yalitumika kwa kazi hiyo katika wilaya ya Itigi na Manyoni,Ikungi,Singida Manispaa,Singida,Mkalama na Wilaya ya Iramba huku kwa mwaka wa 2024/25 wakitarajia kuwa na maghala mengi zaidi.

Pia aliwasilisha baadhi ya changamoto zinazowakabili katika kuhakikisha stakabadhi ghalani inakwenda vizuri ikiwemo uwepo wa watu kati inayopelekea utoroshwaji wa zao la dengu,usimamizi usioridhisha, migogoro baina ya waendesha maghala,baadhi ya watendaji wa vyama vikuu kutokua na sifa stahiki katika nafasi zao(meneja na uhasibu)na ufinyu wa maghala hasa katika Halmashauri ya Itigi.

Mkuu wa Mkoa Mhe.Dendego akizungumza baada ya kusikiliza changamoto hizo,amewaagiza wasimamizi wa stakabadhi ghalani kufanya kazi kwa ushirikiano na kwa umoja kwa kuwa na kauli moja thabiti katika kuhakikisha utekelezaji mzuri wa mfumo wa stakabadhi ghalani,Pia aliagiza COPRA kuwafahamisha wadau juu ya mabadiliko ya Tozo kwa kuuondoa mwongozo walioutoa bila kushirikisha wadau.

Pia,njia nyingine za kukabiliana na changamoto zilizoainishwa ni CEAMCU kuajiri Meneja mwenye sifa,huku SIFACU wakijipanga kufuata taratibu baada ya kupata watendaji wenye sifa stahiki na wenye uzoefu wa msimu uliopita.Kadhalika,Doria zitafanyika katika mageti ya ukaguzi kukagua mazao ambayo hayakupata katika Stakabadhi ghalani.

Katika msimu wa 2024/25 Mkoa utaendelea na utekelezaji wa mfumo huu kwa mazao yaliyopo katika mwongozo ambayoni Dengu,choroko,mbaazi,ufuta na korosho huku kukitarajiwa kuwa na maghala mengi zaidi ambayo yatakidhi mahitaji ya wananchi wote wanaotegemea kunufaika na mfumo huo wa stakabadhi ghalani.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.