• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

TOENI USHIRIKIANO KWA MAKARANI WA SENSA WAKATI WA KUHESABIWA.- RC SERUKAMBA

Posted on: August 17th, 2022

Wananchi Mkoani Singida wametakiwa kutoa ushirikiano mkubwa kwa Makarani na Wasimamizi wa Sensa za watu na makazi ya mwaka 2022 zoezi litakalo anza usiku wa Agosti 23 mwaka huu ili kila mtu aweze kuhesabiwa.

Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba wakati akifungua Kongamano la wadau wa Sensa lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Chuo cha Uhasibu Mkoani hapo.

Amewataka wananchi hao kuhakisha wanajiandaa kuhesabiwa na kuandaa taarifa za kila mmoja huku Mkuu wa Kaya akihakikishia anatoa ushirikiano kwa Makarani wa Sensa ili kuwapatia taarifa hizo.

Aidha Serukamba amewataka viongozi Mkoani hapo kila mtu kwa nafasi yake ahakikishe zoezi hilo linafanikiwa kwa kiwango kikubwa, ikiwa ni pamoja na kuwashirikisha viongozi wa vitongoji na mabalozi ili waweze kuwasadia Makarani kufika maeneo yao ya Utawala.

"Kama mlivyofanya wakati wa anwani za makazi kama mlivyofanya wakati mlipotenga maeneo ya majaribio ya Sensa, basi mkafanye hivyo hivyo wakati wa zoezi la kuhesabu watu. Alisema

Hata hivyo RC Serukamba  amewataka viongozi hao wa kisiasa na kijamii kuendelea kuhamasisha  wananchi kuhusu umuhimu wa kujitokeza kuhesabiwa na kushirikiana na Makarani wa Sensa watakapokuwa wanafanya kazi yao.

Katibu Tawala Mkoa wa Singida Mwl. Dorothy Mwaluko akizungumza wakati wa kikao hicho

Kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa wa Singida Mwl. Dorothy Mwaluko akimkaribisha mgeni rasmi amewataka watendaji kuhakikisha wanafuata maagizo na maelekezo yatakayotolewa katika kikao hicho ili kuboresha zoezi hilo.

Aidha Serikali iliamua kuunda kamati hizo zenye mchanganuo wa Wenyeviti wa Halmashauri, Wakurugenzi watendaji na wakuu wa Wilaya ili kukumbusha wajibu wa kila mmoja katika kutekeleza zoezi la Sensa ya watu na makazi katika maeneo yote ya utendaji na uongozi.

Mratibu wa Sensa Mkoa wa Singida Naing'oya Kipuyo

Awali akitoa taarifa ya utanguli pamoja na utambulisho Mratibu wa Sensa Mkoa wa Singida Naing'oya Kipuyo amesema fedha zote kwa ajili ya kuwalipa Makarani zilishafika na kutumwa kwenye Halmashauri husika ili waweze kuwalipa Makarani na Wasimamizi katika maeneo yao.

Hata hivyo Kipuyo amesema zoezi la ulipaji limekamilika ambapo mpaka jana usiku Halmashauri zilikuwa zinalipa mkononi "cash" walikuwa wameshamaliza kulipa ila wachache ambao malipo yao yalipitia kwenye mabenki waliendelea kupata.


Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.