• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Wakazi wa Kijiji cha Ughandi B Singida Vijijini wamekabidhiwa rasmi Mradi wa maji wenye ujazo wa Lita Elfu 90

Posted on: August 11th, 2022

Wakazi wa Kijiji cha Ughandi B Wilayani Singida Mkoani hapo wamekabidhiwa rasmi Mradi wa maji wenye ujazo wa Lita Elfu 90 na wametakiwa kutunza Mazingira na vyanzo vya maji ili uweze kudumu kwa muda mrefu.

Hayo yamesemwa leo  na Msaidizi wa  Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa 2022 Emmanuel Ndege Chacha wakati wa uzinduzi wa Mradi wa maji unaomilikiwa na Wakala wa maji  na usafi wa  Mazingira vijijini (RUWASA) ambapo aliwataka wananchi kutunza mradi  huo pamoja na kuyalinda Mazingira kuzungukia vyanzo vya maji ili yaendelee kupatika kwa muda mrefu.

Kabla ya kuzindua Mradi huo kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru alibainisha baadhi ya kasoro katika chanzo cha maji na taratibu za malipo hapo aliwataka kufanya marekebisho hayo madogo huku wananchi wakiendelea kupata manufaa ya mradi huo.

Chacha amezitaka kamati za maji za eneo hilo kuhakikisha wanatunza na kukarabati miundombinu ya maji badala ya kusubiri RUWASA.

Hata hivyo Kiongozi huyo amewataka Wahandisi kufuata maelekezo yaliyotolewa na Wizara ya maji katika kutekeleza miradi hiyo.

Hata hivyo amewataka RUWASA kuwa na kawaida ya kutoa taarifa kwa wananchi pindi wanapofanya usafi au matengenezo ya miundombinu ya maji hayo ili kuondoa usumbufu kwa wananchi.

Awali Meneja wa RUWASA Mhandisi Athumani Mkalimoto amesema Mradi huo umekamilika na umeanza kuhudumia wananchi wa eneo hilo.

Hata hivyo Mhandisi amebainisha kwamba Mradi umeokoa kiasi cha Milioni 155.1 baada ya kutumia gharama kiasi cha Tsh.Milion 410.4 ambapo ulitengewa bajeti ya Tsh.Milioni 565.5 mpaka kukamilika alieleza.

Aidha Mhandisi Athumani ameeleza kwamba wananchi wapatao 5500 wa Kijiji cha Ughandi B wamekuwa wakifaidika na uwepo wa Mradi huo.

Mwenge wa Uhuru huo umekamilisha mbio zake katika Wilaya ya Singida baada ya kukagua na kuzindua miradi mitano na programu tano ambazo Mwenge wa Uhuru zote zilipitishwa.

Mwisho

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.