• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Wakulima Mkoani Singida kunufaika na Ruzuku za pembejeo

Posted on: October 5th, 2022

Wakulima Mkoani Singida watanufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo ikiwemo mbolea na mbegu bora mpaka kufikia mwaka 2025 ikiwa ni Mkakati wa Serikali kupunguza gharama za uzalishaji wa mazao na kuwawezesha kuongeza mitaji yao.

Kauli hiyo imetolewa leo tarehe 5.10.2022 na Waziri wa Kilimo Hussein Bashe wakati wa kuzindua  msimu wa kilimo na ugawaji wa mbegu za alizeti  zenye ruzuku  kwa wakulima, Mkutano uliofanyika  katika ukumbi wa Kanisa Katoliki Mjini Singida ambapo amewataka wakulima kuongeza maeneo ya kulima ili waweze kupata faida katika Kilimo chao.

Bashe amesema Kilimo ni biashara hivyo wakulima kulima eka mbili au tatu hawezi kupata faida na pia huduma za ugani zinakuwa hazimfiki kikamilifu kwa sababu za kijografia na mazingira yanayowazunguka.

Aidha amewaagiza wakuu wa Mikoa na Wilaya kuhamasisha wakulima kulima kilimo cha pamoja (block farm) kwakuwa ndicho kitakachoweza kuwaletea manufaa makubwa.

Hata hivyo Waziri Bashe amezitaka Halmashauri kutoa mikopo kwa wakulima kwa kuwa wanachangia zaidi ya asilimia 80 za mapato ya ndani na kuimarisha usalama wa chakula kwa Taifa na mtu mmoja mmoja.

Hata hivyo ameyataka Makampuni ya mbolea ambayo yamesajiliwa kufanya Biashara hiyo kuhakikisha wanaanza kuuza mbolea kuanzia kesho (6.10.2022) kwa wakulima wa Singida kwa kuwa msimu wa kilimo umeshafunguliwa na wakulima wameshaanza kuandaa mashamba.

Waziri huyo ameagiza mbolea yote Mkoani hapo kuuzwa kwa bei ya ruzuku ambapo zipo zitakazouzwa kwa sh. 70,000 kwa kilo, 60,000 na 50,000 kwa kilo na kuwataka wakulima kujiandikisha kwakuwa vigezo pekee vya kupata mbolea hiyo ni kujisajili kwenye mfumo.

Akiwatoa hofu wakulima wa Mkoa huo Waziri Bashe amesema zipo skimu saba7 ambazo zitafanyiwa ukarabati ambazo zipo Wilaya ya Mkalama Singida DC, Singida Mc, Iramba na Itigi ambazo zitasaidia kuinua kilimo cha umwagiliaji.

Awali akimkaribisha mgeni rasmi ambaye ni Waziri wa Kilimo, Mkuu wa Mkoa  wa Singida Peter Serukamba amesema Mkoa umejipanga kuongeza eneo la kilimo ambalo litalimwa na AMCOS wakulima wadogo, mashule na wakulima wakubwa.

Serukamba amesema dhamira ya Mkoa ni kuhakikisha unachangia kwa kiasi kikubwa kupunguza gharama za uagizaji wa mafuta ya kula nje ya nchi na kipato cha wananchi kinaongezeka.

Kwa Upande wake Mtendaji Mkuu wa Wakala wa mbegu za kilimo ASA Dkt. Sophia Kashenje amesema wamejipanga kugawa mbegu kilo 5000 ambapo kwa sasa msimu huu wataleta kilo 2900.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.