• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Wakulima watakiwa kuacha kulima kwenye hifadhi ya barabara

Posted on: February 5th, 2023

Wakulima Wilayani Ikungi wamelalamikiwa kwa kitendo cha kulima katika maeneo mengi ya hifadhi ya Barabara jambo ambalo linakwamisha jitihada za matengenezo ya Barabara hasa nyakati hizi za mvua.

Lalamiko hilo limetolewa hivi karibuni na Meneja wa TARURA Wilaya ya Ikungi Mhandisi Ally Number wakati wa majadiliano yaliyofanyika katika Kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika hivi karibuni katika Halmashauri hiyo.

Mhandisi Ally amebainisha kwamba wakulima wengi Katika kata za Sepuka Makilawa Ihanja Nduru Mkiwa na Mwaru wamelima Katika hifadhi ya Barabara Jambo ambalo litasababisha kucheleweshewa kwa kazi za matengenezo ya Barabara.

Sambamba na hilo Mhandisi Ally amesema bado wafugaji wa Wilaya hiyo wanaendelea kupitisha mifugo Barabarani Jambo ambalo kunasababisha uharibifu mkubwa wa barabara hasa kipindi hiki cha mvua hivyo kuiomba jamii kuacha tabia hiyo kwa kuwa Barabara hizo hutumia fedha nyingi za Serikali katika kukarabatiwa.

Awali Baraza la Madiwani lilipitisha bajeti ya Tarura Ikungi kwa mwaka 2022/23   kiasi cha Bilioni 4.72 Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Ally Juma Mwanga alisema endapo zikitumika kama mipango ilivyowekwa wanategemea maeneo mengi yatafunguliwa na barabara nyingi zitapitika.

Mwenyekiti huyo amesema Kata zote za Ikungi zitaguswa katika bajeti hiyo ambayo yapo maeneo ya kata hizo yatajengwa madaraja kata nyingine Barabara zitafunguliwa mpya wakati maeneo mengine yakijengwa madaraja makubwa na madogo.

Hata hivyo Mhandisi Ally alitoa ufafanuzi kwamba fedha hizo zilizotengwa zitatumika katika utenegenezaji wa barabara Madara na nyingine kwa ajili ya usimamizi ambapo jumla ya KM 156 na madaraja 20 na makalavati 61 vitajengwa.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.