• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

WAKUU WA IDARA NA VITENGO WAPEWA ELIMU YA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA

Posted on: February 4th, 2025

Maafisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Singida, leo wameendesha mafunzo kwa Wakuu wa Idara na Vitengo pamoja na Watendaji wa Kata wa Halmashauri ya Manispaa ya Singida, kwa lengo la kuongeza ufanisi katika mapambano dhidi ya rushwa na kuboresha huduma kwa wananchi.

     Mafunzo hayo, yamefanyika leo Februari 4, 2025,katika Ukumbi wa Ofisi za Halmashauri ya Manispaa ya Singida, yamehudhuriwa na viongozi wa Manispaa, ambapo walijikita katika kujua umuhimu wa kushirikiana katika mapambano dhidi ya rushwa, hasa kwa namna viongozi wanavyohudumia wananchi. Aidha, walipata pia mada kuhusu uchambuzi wa mfumo wa uondoaji wa taka ngumu ndani ya Manispaa hiyo.

Akizungumza katika mafunzo hayo, Afisa wa TAKUKURU, Bw. Lumemi Kisonga, amewataka viongozi kuwa na uwajibikaji katika maeneo yao kwa kuhakikisha kuwa wanashughulikia malalamiko ya wananchi kwa ufanisi na kwa haki.

      Amesisitiza kuwa viongozi wanapaswa kutambua wajibu wao na kuwa na uwezo wa kutatua changamoto zinazowakabili wananchi, ili huduma zitolewe bila ubaguzi.

'Viongozi mnatakiwa kuwa mfano wa kuigwa. Hakikisheni kwamba malalamiko ya wananchi yanasikilizwa na kutatuliwa kwa njia zinazofaa huku mkiwajibika katika nafasi zenu. Hii ni sehemu ya mapambano dhidi ya rushwa," alisema Bw. Kisonga.

Mafunzo hayo ni sehemu ya juhudi za TAKUKURU katika kuimarisha ushirikiano kati ya taasisi za umma na wananchi, na kuhakikisha kuwa mifumo ya utawala inakuwa wazi na yenye uwazi ili kupunguza rushwa katika sekta za umma.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.