• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

WANAMICHEZO KUIPEPERUSHA BENDERA YA SINGIDA KITAIFA

Posted on: September 17th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Singida,Mhe.Halima Dendego amewaaga wanamichezo wa timu kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa ambayo inakwenda kushiriki michuano ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) ambayo inatarajiwa kuanza siku ya kesho (Septemba 18,2024) Mkoani Morogoro.


Akiwaaga wanamichezo hao katika hafla fupi ofisini kwake,Mkuu wa Mkoa wa Singida Mheshimiwa Dendego amesema kuwa Mkoa una mategemeo makubwa sana na wanamichezo hao kwani wanaibeba bendera ya Mkoa wa Singida na wanapaswa kuipeperusha vema kwa kurejea na ushindi mnono.

“Tunategemea muende mkashinde na mkatuwakilishe vema katika michezo yote na nidhamu kwa ujumla mkatuwakilishe vema mkoa wa Singida” Alisema Mheshimiwa Dendego.

Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Dkt.Fatuma Mganga, akizungumza katika hafla hiyo amesema kuwa maandalizi makubwa yamekwishafanyika kuhakikisha mahitaji yote muhimu kwa wanamichezo hao yamepatikana kwa wakati hivyo ni jukumu lao wasasa kuhakikisha kuwa wanakwenda kuuwakilisha Mkoa vema kwa kufanya vizuri katika mashindano hayo.

“Tunalo deni kubwa la kuheshimisha Mkoa wa Singida kwa kurudisha nishani nyumbani na kuleta ushindi katika Mkoa wa Singida”Sura ya Singida itaonekana kupitia nyinyi katiaka nidhamu,kujituma,tabia njema na utendaji wenu”Alisema Dkt.Fatuma Mganga.

Fedrick Ndahani miongoni mwa wachezaji na kiongozi wa Timu hiyo inayosafiri kuelekea Morogoro,amesema maandalizi yao ni mazuri na wanatarajia kufanya vizuri kwani wana hari na maandalizi ya kutosha hivo wanakwenda kupambana na kuhakikisha wanarejea na nishani.

Mashindano hayo hufanyika kila mwaka na kujumuisha watumishi mbali mbali wa serikali,ambapo mwaka huu timu hiyo ya michezo ina jumla ya wanamichezo 30,wanaume 18 na wanawake 12,na kiongozi wa msafara ambapo watashiriki michezo mbali mbali ikiwemo mpira wa miguu,mpira wa pete,riadha,kurusha tufe, na kucheza karata.







Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.