• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

WANANCHI WATOE USHIRIKIANO UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA.

Posted on: May 3rd, 2017

  Wananchi wa Wilaya tatu za Makalama, Iramba na Singida Mkoani Singida ambazo bomba la mafuta kutoka Uganda hadi Tanga linapita wanapaswa kutoka ushirikiano wa kutosha katika hatua zote za ujenzi wa bomba hilo ili wanufaike na fursa zitakazopatikana kwa uwepo wa mradi huo.

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi ametoa rai hiyo katika kikao cha tathmini ya athari za mazingira na za kijamii katika mradi wa bomba la mafuta ambapo watathmini watapita maeneo yote ambapo bomba hilo litapita ili kupata maoni yao ili yaweze kuzingatiwa wakati wa utekelezaji wa mradi huo.

Dkt. Nchimbi amesema wananchi wanapaswa kuwajulisha watathmini hao kila kitu kuhusu hali ya mazingira na kijamii ili mradi huo usiharibu mazingira au upunguze baadhi ya athari wakati wakujenga bomba hilo.

Ameongeza kuwa wananchi wasiwe na wasiwasi kuhusu fidia kwa maeneo ambapo bomba litapita kwakuwa watalipwa vizuri fidia zao na hivyo wanapaswa kuruhusu mradi huo upite katika maeneo yao bila wasiwasi na pia wasianze kuendeleza maeneo ambayo wamesikia mradi utapita kwa kigezo tu cha kupata fidia kubwa.

Kwa upande wake Mtathmini wa Mazingira Saada Juma kutoka kampuni ya JSB ambayo inafanya tahmini hiyo amesema wanatekeleza matakwa ya kisheria katika kufanya tahmini hiyo na wataifanya kwa kasi kubwa ili ujenzi rasmi wa mradi uwahi kufanyika.

Saada amesema mradi huo utakua kambi mbalimbali na kwa mkoa wa Singida kambi itakuwa katika kata ya Msisi ambapo uwepo wa kambi hiyo utaongeza uchumi wa kata na wilaya hiyo.

Amesema vijana wa Singida wajiandae kwa ajili ya kupata ajira mbalimali katika mradi huo, baadhi ya miundombinu itaboreshwa pamoja na uchumi kukukua kwa kuuza bidhaa na kutoa huduma kwa watakaokuwa wakiishi katika kambi hiyo.

Tathmini ya athari za mazingira na za kijamii kwa wilaya za Singida, Mkalama na Iramba ambapo mradi wa bomba la mafuta kutoka Uganda mpaka  Tanga itaana mapema wiki ijayo.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.