• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

"WANAWAKE WANA NAFASI YA KUMILIKI MALI NA KUSHIRIKI UCHAGUZI":RC DENDEGO

Posted on: February 19th, 2025

Jamii imetakiwa kuwapa nafasi wanawake katika kumiliki ardhi kwani kufanya hivyo itasaidia kumpa Mwanamke haki na usawa katika Jamii .

Kauli hiyo imetolewa leo tarehe 19.02.2025 na Mkuu wa Mkoa wa Singida Mheshimiwa Halima Dendego wakati akizungumza na Standard Radio katika kipindi cha asubuhi cha Zinduka, kuelekea kilele cha siku ya mwanamke duniani.

Amesema kuwa Jamii ya Mkoani Singida imekuwa na changamoto ya kutokuwapa nafasi wanawake kumiliki mali ikiwemo ardhi ikiamini kwamba mwanamke ni dhaifu na hana uwezo wa kusimamia na kumiliki ardhi.

Kadhalika,Mkuu wa Mkoa Mhe.Halima Dendego amewasisitiza wanawake wajitokeze kushiriki kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Octoba mwaka huu.

Mhe.Dendego amesema kuwa kujitokeza kwa wanawake katika kushiriki kugombea nafasi za uongozi katika uchaguzi mkuu kutaleta chachu ya maendeleo na kujisimamia wenyewe katika mambo yao pamoja na kuongeza haki na usawa katika jamii.

Katika hatua nyingine Mhe.Dendego amesema kuwa kwa sasa wanawake wamekuwa ni chachu ya kuleta maendeleo hivyo jamii wakiwemo wazee wa kimila na viongozi mbalimbali wawape haki ya kumiliki ardhi kwani wana uwezo wa kusimamia na kuongoza katika shughuli mbalimbali za maendeleo.

Siku ya Mwanamke duniani huadhimishwa Machi 8, kila mwaka na kwa mwaka huu siku hiyo kitaifa itafanyika Mkoani Arusha, kwa mkoa wa Singida itaadhimishwa tarehe 07.03.2025 katika uwanja wa Bombadia Manispaa ya Singida huku Kauli mbiu mwaka2025 ikiwa 'Haki, usawa na uwezeshaji''.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.