• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

WASIMAMIZI WA SENSA SINGIDA WATAKIWA KUWAFUATILIA MAKARANI KUZIFIKIA KAYA AMBAZO HAZIJAHESABIWA

Posted on: August 27th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba amewataka Wasimamizi wa Makarani wa Sensa waliomaliza kufanya madodoso katika maeneo waliyopangiwa kuwahamisha kwenda kuongeza nguvu maeneo mengine ambayo bado zoezi la Sense halijawafikia wananchi.


RC Serukamba amesema hayo baada ya kukagua zoezi la Sensa kwenye Kaya za Singida Mjini, Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi na Itigi Mkoani humo ambapo amesisitiza Kamati za Sensa za kila Halmashauri kuongeza kasi ya kuzifikia Kaya hadi kufikia Jumatatu ya Agosti 29 ili kufanikisha zoezi hili.


“Zoezi linaenda vizuri sana, na utaona tumeshaandikisha watu wengi sana Halmashauri zingine zimefikia asilimia 80% ukiacha halmashauri ya itigi ambayo inachangamoto ya geografia yao ya umbali hivyo kuwalazimu Makarani kutembea umbali mrefu lakini tumeweza kuwajazia mafuta kwenye pikipiki ili wazifikie Kaya nyingi”. Alisema RC Serukamba.


Ameongeza kuwa ili kuongeza kasi hiyo ya kuandikisha Kaya nyingi zaidi Wasimamizi wa Sensa pamoja na Waratibu wawe karibu kuwafuatilia Makarani ili watakapomaliza maeneo waliyopangiwa wahamishiwe kwenye Kaya zingine ambazo hazijafikiwa.


“Msisitizo wangu nimewambia ni kuwa wale Makarani waliomaliza zile kaya walizopangiwa wahamishiwe kwenye Kaya zingine nimewaambia maafisa takwimu wa wilaya kufanya hilo na tumeona kote nilikopita wapo Mkarani ambao wamemaliza Kaya walizopangiwa na wamepewa Kaya zingine nia yetu ni kutaka tusaidiane ili tuweze kumaliza vizuri”. Aliongeza RC Serukamba.


Naye Mratibu wa Sensa Mkoa wa Singida Naing’oya Kipuyo amesema kuwa kuletwa kwa vifaa vya kuchajia vishikwambi pamoja na kutumia bakaa ya fedha kwaajili ya kuwawekea Makarani mafuta ili kuzifikia Kaya zilizopo mbali imeongeza kasi ya uandikishaji wa Kaya ikilinganishwa na hapo awali ambapo Karani alikuwa analazimika kuacha zoezi hilo kutokana na umbali na vishikwambi kukosa chaji.


“Serikali imetoa ruhusa ya kutumia bakaa ya fedha kurahisisha zoezi hili Waratibu wa Sensa wa Wilaya ama kwenye Halmashauri wamekuwa wakikodisha jenereta na pikipiki na kuweka mafuta kuhakikisha zoezi linamalizika katika siku saba ambazo zimepangwa.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.