• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

WATUMISHI WAAGIZWA KUWA NA MAADILI BORA KATIKA KAZI.

Posted on: March 20th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe.Halima Dendego amesisitiza maadili katika maeneo ya kazi kwa kutoa maagizo ya utendaji Bora wa kazi kwa watumishi pamoja na usimamizi bora wa kazi kwa viongozi wa idara na vitengo.

        Ameyasema hayo leo hii wakati akifungua kikao cha kujadili mapitio ya bajeti kwa mwaka 2025/26 kilichofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida.

Mhe.Dendego Amesisitiza Viongozi wa idara,vitengo na sekta mbalimbali kuhakikisha wanawajibika kwa kuwaongoza vema waliopo chini yao kwa kutoa maamuzi sahihi na kuhakikisha wanafanya kazi katika mazingira yenye furaha na mazingira bora ya utendaji kazi ambayo yatawafanya kufanya kazi kwa kujiamini na kwa weledi ambayo yataleta matokeo chanya katika utendaji wa kazi.

            "Tutimize wajibu kwa kuzingatia haki,wajibu na sheria, changamoto katika Shemu za kazi zipo,tuwe watulivu na wasikivu kwani sisi ni vioo katika jamii hivyo maisha yetu yawaguse wale tunaowaongoza".amesema Mhe.Dendego

Pia amesisitiza nidhamu ya watumishi katika kazi kwa kuwa kioo kwa jamii na wale wanaowaongoza kwa kuhakikisha wanavaa mavazi yanayostahili kazini,aina za misuko,viatu na mengine mengi.

Akizungumzia kuhusu suala la nidhamu kwa watumishi kazini,Katibu Tawala wa Mkoa Daktari Fatuma Mganga amesisitiza uwajibikaji kwa watumishi kwa kuhakikisha wanakuwa mstari wa mbele katika utekelezaji wa majukumu mbalimbali huku akikumbusha watumishi kubwa na haiba ya kuwahi kazini ili kutekeleza majukumu yao kwa wakati muafaka.

          Katibu Tawala msaidizi sehemu ya Rasilimali watu Bw.Pancras Stephen amezungumzia suala la ukiukwaji wa maadili kwa watumishi kama sifa mbaya kwa watumishi huku akisema mikakati imekwishawekwa kwa ajili ya kuhakikisha tabia zisizofaa kimaadili kwa watumishi zinazooneshwa ili kurejea katika mstari ulio sahihi.

             Kikao hicho kimehudhuriwa na viongozi mbali mbali kutoka katika vyama vya wafanyakazi ngazi za halmashauri,wilaya na ngazi ya Mkoa.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.