• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Waziri Mkuu Azindua Maonesho ya Nanenane 2024 Kanda ya Kati, Serikali Yataka Wakulima Kuongeza Uzalishaji

Posted on: August 1st, 2024

Serikali imewataka Wakulima, Wafugaji na Wavuvi nchini kuongeza maradufu uzalishaji wa mazao na bidhaa mbalimbali katika sekta hizo kwa sababu soko la uhakika la mazao hayo lipo ndani na nje ya nchi.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati anazindua Maonesho ya Nane Nane Kitaifa na Kimataifa Kanda ya Kati yaliyofanyika katika Viwanja vya Nzuguni mkoani Dodoma.

Majaliwa amesema hadi kufikia mwezi wa Sita mwaka huu tayari Serikali imepata Dola bilioni 2.3 kwa kuuza mazao mbalimbali ikiwemo matunda na jamii ya kunde nje ya nchi.

Amesema kazi iliyopo kwa sasa ni kuhakikisha Maafisa Ugani wanawasaidia Wakulima, Wafugaji na Wavuvi kupata masoko hayo kwa urahisi kwa njia ya Kidigitali ili wananchi waweze kunufaika ipasavyo kwa kuongeza uchumi wao na wa Taifa kwa ujumla.

“Wakulima wa Mahindi msiwe na mashaka limeni mahindi ya kutosha soko lipo “Amesisitiza Majaliwa.

Waziri Mkuu pia ameeleza kuwa kwa sasa Mataifa mbalimbali yameomba kuja kununua mahindi nchini ikiwemo Kongo, Zambia na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani – WFP- hivyo ni uda sasa kwa wakulima kutumia njia za kisasa katika kilimo ili kuongeza uzalishaji.

Aidha, Majaliwa amesema kuwa hadi kufikia mwezi wa Nne mwaka huu zaidi ya Tani Milioni 13 za nyama zenye thamani zaidi ya Dola za Kimarekani Milioni 56 zimeuza kwenye Mataifa ya Komoro, Jordan, Oman, Kuwait na Saudi Arabia.

Naye, Mkuu wa mkoa wa Singida Halima Dendego, akizungumza kwenye uzinduzi wa Maonesho hayo pamoja na kuishukuru Serikali kwa kuupatia Mkoa wa Singida Mabilioni ya fedha kwa ajili ya uimarishaji wa shughuli mbalimbali za kijamii, amesisitiza kuwa mkoa utaendelea kuimarisha kwa kiwango cha hali ya juu shughuli za Kilimo, Mifugo na Uvuvi ili wananchi wanaofanya shughuli hizo waweze kuimarika kiuchumi na kuchangia katika pato la Taifa.

Dendego amesema mkoa wa Singida kwa sasa unaendelea kufungua mashamba ya pamoja na Sekta binafsi hasa katika zao la Korosho nia ni kuona Mkulima ananufaika kwa kiasi kikubwa na kilimo hicho katika kukuza pato lake la Taifa kwa ujumla.

Aidha, Dendego ameishukuru Serikali kwa kuupatia mkoa huo miradi mikubwa ya Umwagiliaji inayogharimu zaidi ya Bilioni 54 miradi ambayo amesema inaenda kuongeza eneo la umwagiliaji kutoka hekta elfu 17 hadi kufikia hekta 21,400 sawa na asilimia 43 ya eneo lote linalofaa kwa shughuli za umwagiliaji mkoani humo.

Dendego ameiahidi Serikali Kuu kuwa yeye na Watendaji wengine wataendelea kuimarisha sekta za Kilimo, Mifugo na Uvuvi ili sekta hizo ziweze kuwakwamua wananchi kiuchumi.

Kauli mbinu ya Mwaka huu ni Chagua Viongozi Bora wa Serikali za Mitaa kwa Maendeleo Endelevu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi”.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.