• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Waziri Mkuu Majaliwa aridhishwa na Utekelezaji wa Mradi wa Ujenzi Jengo la Halmashauri ya Singida Vijijini.

Posted on: August 7th, 2022

Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa  ameridhishwa na utekelezaji wa Mradi wa Ujenzi wa jengo la ofisi ya Halmashauri ya Singida Vijijini lililopo Kata ya Ilongero  ambako limegharimu kiasi cha fedha Tsh. Bilioni 2.7 ambapo ameagiza jengo hilo kukamilika kwa wakati ili wananchi wapate huduma inayostahili.

Waziri Mkuu ameyasema hayo hivi karibuni baada ya kuweka jiwe la msingi katika jengo hilo na kufafanua kwamba Ujenzi huo unalingana na kiasi cha fedha kilichotumika ambapo aliwapongeza viongozi walioweza kulisimamia.

Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa akiweka jiwe la msingi Mradi wa Ujenzi wa jengo la ofisi ya Halmashauri ya Singida Vijijini

Amesema jengo hilo ni miongoni mwa majengo ambayo yamekuwa yakitolewa fedha nyingi na Serikali ili kuwasaidia wananchi kupata huduma.

Katika Ujenzi huo kiasi cha fedha Tsh.700 zilizobaki Waziri Mkuu ameahidi kwamba zitakuja ili zitumike katika umaliziaji na Ujenzi wa uzio kwa ajili ya usalama wa Ofisi hiyo.

Hata hivyo Waziri Mkuu amempongeza Mkurugenzi wa Singida DC Ester Chaula kwa usimamizi wake katika kazi za Serikali huku akimtaka kuendelea kuwasimamia wagavi katika kununua vifa vya ujenzi kama alivyofanya awali.

Hata hivyo amewataka Watumishi wa umma kufanya kazi kwa bidii na kuwafuata wananchi vijijini ili kuwapa huduma na kuwaeleza fursa ambazo Serikali imekuwa ikizitoa.

Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa akizungumza na baadhi ya wananchi wa Singida Vijijini mara baada ya uwekaji jiwe la msingi Mradi wa Ujenzi wa jengo la ofisi ya Halmashauri ya Singida Vijijini

Amesisitiza nidhamu katika kazi kwa Watumishi na viongozi wao kwa kuwa kufanya hivyo itakuwa ni chanzo cha mafanikio.

Awali Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba amesema Serikali imeleta miradi mingi Mkoani hapo ambayo inatumia kiasi kikubwa cha fedha hivyo ameahidi kuzisimamia na kuhakikisha thamani yake ina onekana.

Aidha amewataka wananchi wa Singida kuitunza miradi hiyo ikiwemo miradi ya maji elimu na Barabara ambazo fedha nyingi zimetolewa na Serikali na kwa kufanya hivyo utaweza kuwasaidia watu wengi zaidi.

Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba (kulia) akizungumza na wananchi wa Singida vijijini wakati wa ziara ya uwekaji jiwe la msingi jengo la ofisi ya Halmashauri

Serukamba ameendelea kuwaeleza wananchi wa Ilongero dhamira yake ya kuhakikisha kila mwananchi anakuwa na Bima ya Afya ambayo itarahisisha kupata huduma za Afya kwa kila mwananchi.

Ziara ya Waziri Mkuu ililenga kukagua miradi mbalimbali ikiwemo jengo la ofisi ya Halmashauri ya Ilongero na upanuzi wa Hospitali ya rufaa ya Mandewa iliyopo Manispaa ya Singida.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (kushoto.) akipeana mkono wa pongezi na Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serikamba mara baada ya uwekaji wa jiwe la msingi jengo la halmashauri ya Singida Dc

Mwisho

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.