• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

SINGIDA YAADHIMISHA SIKU YA VIJANA DUNIANI – VIJANA WAASWA KUCHANGAMKIA FURSA

Posted on: August 12th, 2025

Mkoa wa Singida leo umeadhimisha Siku ya Vijana Duniani katika hafla iliyofanyika Wilaya ya Ikungi, ambapo vijana wametakiwa  kutumia fursa zinazotolewa na Serikali katika kujiletea maendeleo ya kiuchumi, kijamii na kisiasa.

Akizungumza katika hafla hiyo, Afisa vijana wa Mkoa wa Singida Ndg.Fredrick Ndahani amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kuweka mazingira wezeshi kwa maendeleo ya vijana kupitia mikakati mbalimbali ikiwemo mikopo ya Asilimia 10 ya mapato ya ndani kwa vijana, wanawake na watu wenye ulemavu kupitia Halmashauri,Programu za mafunzo ya stadi za maisha kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu,Mafunzo ya kilimo cha kisasa na ufugaji kupitia mpango wa BBT kwa kushirikiana na sekta binafsi.

Kwa upande wa Mkoa wa Singida, Ndahani amesema katika mwaka wa fedha uliopita, jumla ya Shilingi 1,361,894,654.66 zimetolewa kwa vikundi 147 vya vijana kutoka Halmashauri zote za mkoa huo. Aidha, katika sekta ya elimu, Serikali imetoa elimu bure kuanzia shule za msingi hadi sekondari, mikopo ya elimu ya juu, na ufadhili wa "Samia Scholarship".

Ameongeza kuwa Serikali imetumia Shilingi Bilioni 41.9 kujenga madarasa 422, vyoo 905, mabweni 28 na maabara 43, pamoja na ujenzi wa shule za amali katika kila wilaya na shule moja ya amali ya mkoa.

Katika wito wake, Ndahani amewataka vijana kutumia ipasavyo mikopo na fursa zilizopo, kuimarisha mshikamano wa vikundi, kushirikiana na viongozi wa serikali na wadau, kushiriki kikamilifu kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2025, na kwa wanafunzi, kusoma kwa bidii.

Amehitimisha kwa kuwasihi wazazi na jamii kuendelea kuwalea na kuwaunga mkono vijana, huku akisisitiza umuhimu wa kudumisha amani na mshikamano wa taifa.

Maadhimisho ya mwaka huu yameongozwa na kauli mbiu "Nguvu Kazi ya Vijana kwa Maendeleo Endelevu", ikisisitiza umuhimu wa vijana kama rasilimali muhimu ya taifa katika kuchochea maendeleo.


Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • SINGIDA YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA KUFIKIA VIWANGO VYA JUU VYA USAFI WA MAZINGIRA

    August 15, 2025
  • WAZAZI WASIOPELEKA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM SHULENI KUCHUKULIWA HATUA

    August 14, 2025
  • SINGIDA YAADHIMISHA SIKU YA VIJANA DUNIANI – VIJANA WAASWA KUCHANGAMKIA FURSA

    August 12, 2025
  • "ARDHI NI MAISHA – TUIKUMBATIE KAMA URITHI WA VIZAZI VYETU" : RC HALIMA DENDEGO

    July 21, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.