• Contact Us |
    • Complaints |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Blog |
Singida Regional Website

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Singida Regional Website

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
    • Regional Leaders
  • Administration
    • Regional Secretariet Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Planning and Coordination
      • Economy and Production
      • Infrustructure
      • Local Government
      • Health
      • Education
      • Water
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Services
      • Procurement and Supply
  • Districts
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • LGA
    • Ikungi DC
    • Iramba DC
    • Itigi DC
    • Manyoni DC
    • Mkalama DC
    • Singida DC
    • Singida MC
  • Investiment Opportunity
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Mining
  • Our Services
    • Health
      • Medical Specialists
      • Clinical Services
      • Preventive Care
      • Social Welfare
      • Environmental Health
      • Nutrition
    • Education
    • Water
    • Agriculture
  • Publications
    • Bylaw
    • Customer Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • Investment Guide
  • Media Center
    • Gallery
    • Videos
    • Speeches
    • Press Release

*BONANZA LA "MWALIMU NA SAMIA"LAFANYIKA SINGIDA.

Posted on: November 23rd, 2024

Bonanza lililowakutanisha waalimu kutoka Halmashauri mbili za Mkoa wa Singida,Halmashauri ya Manispaa ya Singida na Halmashauri ya Singida lenye Jina la "Bonanza la Mwalimu na Samia"lililofanyika katika uwanja WA Bombadia mkoani Singida limefanyika mkoani Singida likiratibiwa na Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya ya Singida.


Katika Bonanza hilo Mgeni rasmi akiwa ni Mkuu wa Mkoa wa Singida,ametoa pongezi Kwa waalimu hao kama daraja imara kati yao na wanafunzi katika nyanja za masomo Kwa kuwajengea uwezo imara na kuhakikisha wanafunzi hao wanapata ufaulu mzuri unaowawezesha kuendelea na masomo ya Sekondari na vyuo vikuu pamoja na msingi imara wa kujiajiri hata baada ya kumaliza masomo yao.

Amesema kuwa serikali inautambua mchango mkubwa WA waalimu na hivyo serikali itakuwa tayari wakati wote kuhakikisha wanasikiliza na kutatua kero zao ili kuendelea kuzitafutia ufumbuzi ili kuendelea kuwaunga mkono Kwa kuweka mazingira mazuri ya kufanyia kazi Kwa kujenga miundombinu Bora kuanzia shule ya awali na Sekondari na kuongeza vitendea kazi vya kutosha mashuleni.

"Waalimu wa Mkoa wa Singida mmeendelea kuwa baraka katika Mkoa huu  kwani takwimu za ufaulu katika Mkoa wa Singida zinazidi kupanda juu tofauti na ilivyokua katika siku za nyuma kwani mnafanya kazi zenu Kwa weledi na uzalendo pamoja na changamoto zilizopo ambazo zitafanyiwa kazi"alisema Mhe.Dendego

 Mkuu wa Wilaya ya Singida,Mhe.Godwin Gondwe akizungumza katika Bonanza hilo,amesema tuzo mbalimbali zinazotolewa Kwa waalimu ni kama motisha na zitasaidia kuongeza morali katika ufundishaji na kuwapongeza Kwa matokeo mazuri ikiwemo ya kidato Cha nne mwaka huu yaliyopanda ufaulu Kwa asilimia huku kukiwa na malengo ya kufuta daraja sifuri Kwa mwaka ujao wa 2025.


"Mpango wetu ni  kuondoa daraja ziro kabisa mashuleni,hili litafanyika pia Kwa kuhakikisha wanafunzi wanapata vyakula mashuleni wote Kwa ujumla na sio Kwa madarasa ya mitihani pekee."alisema DC Gondwe

Naye mstahiki Meya wa Manispaa ya Singida,Yagi Kiaratu amesema serikali inaendelea kuunga mkono elimu Kwa kuhakiisha Kuna miundombinu Bora ya elimu kama kujenga mashule,madarasa ya kutosha,nyumba za waalimu,mabweni kufuta ada za wanafunzi kuanzia awali mpaka kidato Cha sita na kuongeza mikopo ya elimu ya juu ili kuwawezesha wanafunzi katika gharama za ada na kujikimu,Hivyo ni vema kuutambua mchango wa mwalimu kwa mkono mwalimu kwani ndie daraja la kuwezesha mafanikio ya wanafunzi.

"Ufaulu katika matokeo umeongezeka Kwa takribani asilimia Tano,hii ni kutokana na uboreshwaji WA mazingira ya kujifunzia na kufundishia Kwa waalimu na wanafunzi,ndio sababu ya mwitikio na hamasa kubwa inayoonekana Kwa waalimu kujitokeza Kwa wingi SIKU ya Leo kwasababu wana furaha kwani changamoto zao zinafanyiwa kazi."amesema Mstahiki Meya.

Announcements

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI MIRADI SINGIDA DC,MHE DENDEGO ATOA MAAGIZO

    May 13, 2025
  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • View All

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
More Videos

Quick Links

  • Press Release
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • SINGIDA RS PROCUREMENT NOTICE
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Related Links

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    SINGIDA

    Postal Address: P O BOX 5 SINGIDA

    Telephone: 2502170, 2502089

    Mobile: 2502170, 2502089

    Email: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.