• Contact Us |
    • Complaints |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Blog |
Singida Regional Website

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Singida Regional Website

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
    • Regional Leaders
  • Administration
    • Regional Secretariet Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Planning and Coordination
      • Economy and Production
      • Infrustructure
      • Local Government
      • Health
      • Education
      • Water
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Services
      • Procurement and Supply
  • Districts
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • LGA
    • Ikungi DC
    • Iramba DC
    • Itigi DC
    • Manyoni DC
    • Mkalama DC
    • Singida DC
    • Singida MC
  • Investiment Opportunity
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Mining
  • Our Services
    • Health
      • Medical Specialists
      • Clinical Services
      • Preventive Care
      • Social Welfare
      • Environmental Health
      • Nutrition
    • Education
    • Water
    • Agriculture
  • Publications
    • Bylaw
    • Customer Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • Investment Guide
  • Media Center
    • Gallery
    • Videos
    • Speeches
    • Press Release

KATIBU TAWALA MKOA WA SINGIDA AWATAKA WASICHANA KUTUMIA UTANDAWAZI KWA KUJIFUNZA MILA NA DESTURI NZURI

Posted on: March 5th, 2023

Katibu Tawala Mkoa wa Singida Mwl. Dorothy Mwaluko ameongoza mdahalo katikaShule ya Sekondari ya Wasichana Tumaini iliyopo Wilaya ya Iramba Tarehe 05 Machi, 2023.

Moja ya Mada iliyojadiliwa ni Mila na Desturi za Msichana wa Kitanzania katika Ulimwengu wa Kidigitali.

"Mila na Desturi zipi zinapaswa kuenziwa na msichana wa kitanzania na zipi zinapaswa kuachwa na msichana wa kitanzania".

Washiriki ambao ni Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Tumaini wamesema mila na Desturi zinazopaswa kuachwa kwa msichana wa kitanzania ni pamoja na kuozesha watoto wa kike wakiwa na umri mdogo, ukeketaji kwa watoto wa kike, kutokuwapeleka shule watoto wa kike na mengineyo.

Mila na Desturi zinazopaswa kuenziwa kwa watoto wa kike ni pamoja na kutokushiriki tendo la ngono kwa msichana akiwa na umri mdogo, kushiriki shughuli za maendeleo, kusoma kwa bidii na kupata elimu kwa usawa.

"Watoto wa kike mnapaswa kuwa wasafi wakati wote hasa nyakati za hedhi na ioneni kama ni hali ya kawaida ili muendelee na masomo mnapokua katika hali hiyo" Mwl. Dorothy Mwaluko

Kuweni wajasiri kwa kuwa na misimamo na kuhakikisha mnatimiza ndoto zenu, pamoja na changamoto mnazopitia lakini hakikisheni mnasoma kwa bidii na maarifa ili kutimiza ndoto zenu. Amesisitiza Mwl Mwaluko

Aidha amewataka Watoto wa kike kutumia utandawazi kwa kujifunza mila na desturi nzuri za Kitanzania ili muendelee kuzidumisha kwenye maisha yao ya kila siku  na sio kutumia utandawazi vibaya.

Mwaka huu Singida inafikisha miaka 60 hivyo tutakua na maadhimisho hayo kimkoa yatakayo fanyika Oktoba, hivyo ametumia fulsa hiyo kuwaomba wajiandae kwa midahalo, maonesho ya mavazi na burudani zingine ili siku hiyo iwe yenye shamrashara furaha na nderemo.

Naye Katibu wa Chama cha Walimu Mkoa wa Singida Mwl. Digna Nyaki amesema wataendelea kuhakikisha malezi ya watoto wao yanakua mazuri na kuwalinda watoto wa kike ili kujenga Taifa la bora lenye amani uzalenda na utulivu.

Hata hivyo Mwl. Nyaki amesema watahakikisha watoto wa kike wanapata elimu kwa usawa bila kubaguliwa maana watoto wa kike wana haki sawa na watoto wa kiume.

Announcements

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • View All

Latest News

  • "SINGIDA IMEJIPANGA KUONGOZA UFAULU KITAIFA":RC DENDEGO

    June 04, 2025
  • MRADI WA TACTIC KULETA NEEMA MANISPAA YA SINGIDA.

    June 02, 2025
  • "WAHITIMU MSIBWETEKE,JIENDELEZENI KATIKA FANI ILI MJIAJIRI"-DKT.MGANGA

    May 30, 2025
  • DKT.MGANGA:"WATUMISHI MSIKUBALI KUTUMIKA VIBAYA,KUWENI NA UTAMBULISHO MZURI"

    May 27, 2025
  • View All

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
More Videos

Quick Links

  • Press Release
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • SINGIDA RS PROCUREMENT NOTICE
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Related Links

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    SINGIDA

    Postal Address: P O BOX 5 SINGIDA

    Telephone: 2502170, 2502089

    Mobile: 2502170, 2502089

    Email: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.