• Contact Us |
    • Complaints |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Blog |
Singida Regional Website

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Singida Regional Website

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
    • Regional Leaders
  • Administration
    • Regional Secretariet Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Planning and Coordination
      • Economy and Production
      • Infrustructure
      • Local Government
      • Health
      • Education
      • Water
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Services
      • Procurement and Supply
  • Districts
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • LGA
    • Ikungi DC
    • Iramba DC
    • Itigi DC
    • Manyoni DC
    • Mkalama DC
    • Singida DC
    • Singida MC
  • Investiment Opportunity
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Mining
  • Our Services
    • Health
      • Medical Specialists
      • Clinical Services
      • Preventive Care
      • Social Welfare
      • Environmental Health
      • Nutrition
    • Education
    • Water
    • Agriculture
  • Publications
    • Bylaw
    • Customer Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • Investment Guide
  • Media Center
    • Gallery
    • Videos
    • Speeches
    • Press Release

"SINGIDA TUMEZIKATAA CHANGAMOTO ZA WANAWAKE"RC DENDEGO

Posted on: October 16th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe Halima Dendego amewaomba wanawake kujiandikisha katika daftari la wapiga kura kwa ajili ya kushiriki  uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024 na kugombea nafasi za uongozi ili wanawake kuwa na nafasi  ya kutoa maamuzi pale yanapojadiliwa maswala mbalimbali ya maendeleo.

Hayo yamesemwa hii leo tarehe 16 Octoba, 2024 katika maadhimisho ya kimataifa ya mwanamke wa kijijini yalioanzishwa kwa mara ya kwanza na baraza kuu la umoja wa mataifa mwaka 2007 kupitia azimio maalumu la kutambua jukumu na mchango wa wanawake wa Vijijini katika kuimarisha maendeleo ya Kilimo maendeleo ya vijiji kuboresha usalama wa chakula na kutokomeza umasikini ambayo yamefanyika ukumbi wa shule ya sekondari Ikungi.

Mkuu wa Mkoa amesema kuwa nafasi hizi za uongozi zimewekwa ili wanawake wapaze sauti katika yale ambayo yamekuwa ni kero na yanakwamisha maendeleo ya wanawake kiuchumi na nyanja zingine zote.

"Singida hususani Wilaya ya Ikungi tumeshaanza kuzikataa changamoto za wanawake tunasema tutakapolima tupewe nafasi ya maamuzi kipi kiuzwe na kipi kibaki kwa ajili ya chakula" amesema mkuu wa Mkoa

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Thomas Apson ameongeza na kusema kuwa ipo haja pia wanawake kuwaheshimu waume zao ili kuondokana na migogoro ya mara kwa mara inayojitokeza na kupeleke mifarakano katika familia.

"Nimejifunza hilo kwenye mikutano yangu ya kusikiliza kero za wananchi inapofika saa 12 wanawake wanawahi nyumbani kuwapikia waume zao huu ni Utamaduni mzuri tusiige tamaduni mbaya" ameongeza Mkuu wa Wilaya.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg. Richard Rwehumbiza akisoma taarifa mbele ya Mgeni Rasmi kuwa maadhimisho haya hufanyika kila mwaka ili kuelimisha jamii kuhusu jitihada mbali mbali zinazofanyika na serikali na asasi mbalimbali kukuza uchumi na mshikamano wa wanawake nchini na duniani kote.

Naye Afisa Maendeleo ya jamii Bi Haika Massawe mara baada ya maada mbalimbali kujadiliwa juu ya mwanamke wa kijijini ametaja baadhi ya maazimio ambayo kwa kushirikiana na wanawake wa Wilaya ya Ikungi yatatekelezwa kubwa ikiwa ni pamoja na utoaji kwa wakati mikopo ya asilimia 10 za halmashauri na kufatilia utendaji wao wa kazi ili kurejesha mikopo hiyo kwa wakati na mengine ikiwa ni pamoja na kuweka mazingira wezeshi kutatua changamoto zao kama kugombea nafasi za uongozi na kujumuika katika kutoa maamuzi.

Announcements

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI MIRADI SINGIDA DC,MHE DENDEGO ATOA MAAGIZO

    May 13, 2025
  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • View All

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
More Videos

Quick Links

  • Press Release
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • SINGIDA RS PROCUREMENT NOTICE
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Related Links

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    SINGIDA

    Postal Address: P O BOX 5 SINGIDA

    Telephone: 2502170, 2502089

    Mobile: 2502170, 2502089

    Email: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.