• Contact Us |
    • Complaints |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Blog |
Singida Regional Website

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Singida Regional Website

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
    • Regional Leaders
  • Administration
    • Regional Secretariet Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Planning and Coordination
      • Economy and Production
      • Infrustructure
      • Local Government
      • Health
      • Education
      • Water
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Services
      • Procurement and Supply
  • Districts
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • LGA
    • Ikungi DC
    • Iramba DC
    • Itigi DC
    • Manyoni DC
    • Mkalama DC
    • Singida DC
    • Singida MC
  • Investiment Opportunity
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Mining
  • Our Services
    • Health
      • Medical Specialists
      • Clinical Services
      • Preventive Care
      • Social Welfare
      • Environmental Health
      • Nutrition
    • Education
    • Water
    • Agriculture
  • Publications
    • Bylaw
    • Customer Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • Investment Guide
  • Media Center
    • Gallery
    • Videos
    • Speeches
    • Press Release

Tutapima udongo kabla ya kusambaza mbegu za alizeti RC Mahenge

Posted on: June 28th, 2022

Serikali imejipanga kupima na kutambua  Hali ya udogo kabla ya kusambaza mbegu za alizeti kwa wakulima wa Mkoa wa Singida ili kuondoa  changamoto iliyojitokeza katika msimu huu wa kilimo ambapo kwa bàadhi ya maeneo hazikuweza kutoa mazao yaliyokusudiwa.

Lengo la kupima udongo wa maeneo hayo ni kutambua aina ya mazao au mbegu zinazoweza kustawi  kwa kuwa imebainika  kwamba bàadhi ya mbegu za alizeti zimekuwa zikistawi zaidi katika bàadhi ya maeneo huku maeneo mengine  zikishindwa kustawi vizuri.

Akiongea wakati wa Mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Kitukutu kata ya Kiomboi wilaya ya Iramba alipokuwa akisikiliza na kutatua Kero za Wananchi Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Binilith Mahenge amebainisha kwamba Serikali inaendelea na mpango wa kupima ardhi ili kubaini aina ya mazao yanayoweza kustawi pamoja na aina ya mbolea itakayopendekezwa kutumika maeneo husika.

 Pamoja na changamoto ilijitokeza kwa wakulima wa alizeti katika bàadhi ya maeneo ambapo mbegu aina ya  standard kushindwa kustawi vizuri RC Mahenge akawaeleza wananchi kwamba  Serikali iligawa mbegu za alizeti kwa wananchi zenye thamani ya Tsh. Bilion tatu lengo likiwa ni kuondoa umaskini kwa wananchi kwa kupitia kilimo lakini mbegu hazikuweza kustawi vizuri kama malengo yalivyokuwa.

Amesema Serikali inampango wa kupima udongo katika maeneo mbalimbali Mkoani hapo ili  kubaini aina ya udongo na aina ya mbegu zinazotakiwa kustawishwa ili kuondokana na changamoto ya kupanda mbegu ambazo hazitaweza kutoa mafanikio.

Akijibu swali la mwanakijiji Elizabeth Shalua ambapo alitaka kujua mpango wa Serikali kuhusu mbegu hizo za alizeti ambazo ulikuwa ni mkopo kutoka Wizara ya Kilimo ambao waliotakiwa kurejesha wakati wa mavuno  na kwa bahati mbaya wameshindwa kuvuna kutokana na mbegu hiyo kutoa Mashuke kidogo RC Mahenge akabainisha kwamba kwa sasa Serikali haitadai kwa kuwa wananchi tayari wameingia hasara.

Naye Emanueli Mitundu kutoka Kijiji cha Misigiri akatumia nafasi hiyo kuiomba Serikali kupunguza bei ya pembejeo ikiwemo mbolea ambayo imekuwa juu kiasi cha wakulima kushindwa kununua hivyo kuchangia kupata mazao hafifu.

Ziara hiyo ya Mkuu wa Mkoa imeendelea katika Kijiji cha Misigiri ambapo aliendelea kutatua Kero za Wananchi kuhusu upatikanaji wa maji, Umeme na Barabara huku akiwataka wananchi kutoa ushirikiano kwa Serikali katika kutatua Kero zinazowakabili.

Aidha ziara hiyo ya kusikiliza na kutatua Kero za Wananchi itaendelea katika Wilaya ya Mkalama katika Kijiji cha Iguguno katika Mkutano wa hadhara utakofanyika uwanja wa Ofisi ya Kijiji cha Iguguno kuanzia saa tano asubuhi.

Mwisho

Announcements

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • View All

Latest News

  • "SINGIDA IMEJIPANGA KUONGOZA UFAULU KITAIFA":RC DENDEGO

    June 04, 2025
  • MRADI WA TACTIC KULETA NEEMA MANISPAA YA SINGIDA.

    June 02, 2025
  • "WAHITIMU MSIBWETEKE,JIENDELEZENI KATIKA FANI ILI MJIAJIRI"-DKT.MGANGA

    May 30, 2025
  • DKT.MGANGA:"WATUMISHI MSIKUBALI KUTUMIKA VIBAYA,KUWENI NA UTAMBULISHO MZURI"

    May 27, 2025
  • View All

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
More Videos

Quick Links

  • Press Release
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • SINGIDA RS PROCUREMENT NOTICE
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Related Links

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    SINGIDA

    Postal Address: P O BOX 5 SINGIDA

    Telephone: 2502170, 2502089

    Mobile: 2502170, 2502089

    Email: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.