• Contact Us |
    • Complaints |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Blog |
Singida Regional Website

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Singida Regional Website

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
    • Regional Leaders
  • Administration
    • Regional Secretariet Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Planning and Coordination
      • Economy and Production
      • Infrustructure
      • Local Government
      • Health
      • Education
      • Water
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Services
      • Procurement and Supply
  • Districts
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • LGA
    • Ikungi DC
    • Iramba DC
    • Itigi DC
    • Manyoni DC
    • Mkalama DC
    • Singida DC
    • Singida MC
  • Investiment Opportunity
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Mining
  • Our Services
    • Health
      • Medical Specialists
      • Clinical Services
      • Preventive Care
      • Social Welfare
      • Environmental Health
      • Nutrition
    • Education
    • Water
    • Agriculture
  • Publications
    • Bylaw
    • Customer Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • Investment Guide
  • Media Center
    • Gallery
    • Videos
    • Speeches
    • Press Release

WALIMU MKOANI SINGIDA WAPONGEZWA KWA KUSHIKA NAFASI YA PILI KITAIFA KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA HUU 2019.

Posted on: September 15th, 2019

SERIKALI ya Mkoa wa Singida imewapongeza walimu na wanafunzi kutoka shule mbalimbali zilizopo mkoani Singida kwa kufanya vizuri katika matokeo ya kidato cha sita mwaka huu 2019 hadi kupelekea kushika nafasi ya pili kitaifa kati ya shule 29 zilizopo Tanzania bara na Visiwani.

“HONGERA SANA KWA MAFANIKIO MAKUBWA HAYA AMBAYO MUNGU AMETUWEZESHA”. Dkt. Rehema Nchimbi

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa hafla hiyo, Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi amesema, uwalimu ni wito, ni lazima uwe na uhusihano wa moja kwa moja na Mungu, kazi ya ualimu ni kazi Takatifu na sio kila mtu anaweza kuwa mwalimu.

Amesema, Mwalimu lazima awe mwenye huruma, mwalimu wakati wote lazima awe mlinzi katika nafasi pana. Mwalimu ni kiunganishi, anaunganisha ubao na darasa, anaunganisha yaliyopo kichwani kwake na wanafunzi.

“Ualimu ni usuruhishi, mwalimu ni mpatanishi, ukimuona mtoto hajapatanishwa vizuri na mazingira yanayomzunguka ujue kuna changamoto ya uwalimu” Dkt. Nchimbi

Amesisitiza kuwa, Saikoloji inasema hakuna binadamu asiyefundishika, hivyo, kufeli kwa mwanafunzi ni kufeli kwa mwalimu, “Mwalimu hata siku moja hafurahishwi na matokeo mabaya ya mwanafunzi wake bali hufurahishwa na matokeo mazuri (chanya) ya mwanafunzi wake”.

Aidha, ametoa wito kwa Wakurugenzi na Maafisa Elimu wa ngazi mbalimbali mkoani Singida kuwa karibu na walimu kwa kutenga muda wa kuwasikiliza pindi wafikapo maofisini kwao.


Kwa upande wake Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Dkt. Angelina Lutambi, amesema Walimu ndio wanaoweza kututengenezea Taifa au kutuharibia, kwa sababu ndiyo wanaoshiriki katika malezi ya mtoto katika nyakati zote za makuzi yake.


Aidha, Dkt Angelina Lutambi, ametoa wito kwa walimu kujitokeza kwa wingi katika kushiriki mashindano mbalimbali ya kitaaluma pindi yanapoandaliwa ili kuongeza tija katika sekta ya elimu mkoani Singida na Taifa kwa ujumla.

Naye, Afisa Elimu wa Mkoa wa Singida Mwl. Nelasi Mulungu amesema, mikakati iliyotumika na kuendelea kufanya vizuri katika mitihani ya kidato cha sita kila mwaka ni kufanya vikao vya pamoja na wakuu wa shule ambapo kila mkuu wa shule hueleza na kuwasilisha mikakati waliyojipanga kwa kila shule ambayo inahakikisha kuwa ufaulu unakuwa ni daraja la kwanza na la pili.

Aidha, Kufanya Majaribio kwa kila wiki, na baadhi ya shule wana wastani wa shule ambapo asiyeufikia wastani huo hupewa adhabu zenye kuwasukuma kuhakikisha kuwa kila mmoja anafanya vizuri mfano, kupewa mazoezi ya kutosha ili kuwafanya muda mwingi wawe wanajisomea.

Akisisitiza zaidi amesema, Wamefanikiwa kudhibiti utoro kwa kuhakikisha kuwa wakati wote wanafunzi wapo shuleni na darasani wanajifunza. Kuhakikisha kila mwalimu anakamilisha mada zote kwa wakati.

"Mkakati mwingine ni Kudumisha nidhamu kwa walimu na wanafunzi ili ufundishaji na ujifunzaji uweze kwenda vizuri na kwa kujituma". Mwl. Mulungu

Imetolewa na;

Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

SINGIDA

Announcements

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI MIRADI SINGIDA DC,MHE DENDEGO ATOA MAAGIZO

    May 13, 2025
  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • View All

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
More Videos

Quick Links

  • Press Release
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • SINGIDA RS PROCUREMENT NOTICE
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Related Links

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    SINGIDA

    Postal Address: P O BOX 5 SINGIDA

    Telephone: 2502170, 2502089

    Mobile: 2502170, 2502089

    Email: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.