• Contact Us |
    • Complaints |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Blog |
Singida Regional Website

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Singida Regional Website

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
    • Regional Leaders
  • Administration
    • Regional Secretariet Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Planning and Coordination
      • Economy and Production
      • Infrustructure
      • Local Government
      • Health
      • Education
      • Water
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Services
      • Procurement and Supply
  • Districts
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • LGA
    • Ikungi DC
    • Iramba DC
    • Itigi DC
    • Manyoni DC
    • Mkalama DC
    • Singida DC
    • Singida MC
  • Investiment Opportunity
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Mining
  • Our Services
    • Health
      • Medical Specialists
      • Clinical Services
      • Preventive Care
      • Social Welfare
      • Environmental Health
      • Nutrition
    • Education
    • Water
    • Agriculture
  • Publications
    • Bylaw
    • Customer Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • Investment Guide
  • Media Center
    • Gallery
    • Videos
    • Speeches
    • Press Release

Miradi ya Ujenzi wa vyumba vya madarasa, Hospitali na visima vya maji kukamilishwa kabla ya Desemba 10, 2021 - RC SINGIDA

Posted on: November 8th, 2021

Bodi za shule za msingi na sekondari pamoja na Madiwani katika kata mbalimbali mkoani Singida wametakiwa kuwashirikisha wananchi katika Ujenzi wa vyumba vya madarasa, Hospitali na visima vya maji ili kukamilisha Ujenzi huo kabla ya Desemba 10, 2021.

Mkuu wa Mkoa Singida Dkt. Binilith Mahenge  ametoa kauli hiyo leo tarehe 8.11.2021 alipotembelea Ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule ya Sekondari ya Manyoni iliyopo wilayani humo na kukuta wafanyakazi na  mafundi wachache jambo ambalo halikumfurahisha.

"Katika Wilaya nyingine wananchi wamehamasika ambapo walichimba msingi na kusaidia kusogeza mchanga  kokoto na zege  na kusaidia kufanya kazi kwenda kwa haraka, sasa hapa kuna mafundi watatu hawawezi kumaliza kazi hii kwa wakati.” Alisema Dkt.Mahenge

Dkt Mahenge amesema Mpango uliopo ni kuhakikisha vyumba 662 vya madarasa kwa sekondari na Msingi shikizi kwa mkoa kukamilika kabla ya Decemba 15 mwaka huu na endapo kazi hiyo itashindikana kukamilishwa kwa namna yoyote ile wasimamizi wanaohusika waajiandae kufukuzwa kazi.

Hata hivyo amezitaka Bodi za shule kuhakikisha kwamba wanawashirikisha wananchi katika Ujenzi huo na kuacha kudhani kwamba hela hizo zitatosha kwa kila kitu.

Aidha amesema wadau wanaruhusiwa kuchangia  baadhi ya vitendea kazi ikiwemo mchanga, kokoto au nguvu kazi kwa kuwa  kila darasa lilikadiriwa kutumia kiasi cha sh.Milion 20 kwa kila darasa.

Amemtaka Mkurungezi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni kuhakikisha wananunua vifaa kwa pamoja ili kupunguza gharama ikiwa ni pamoja na kutoa Oda mapema kwa kuwa mahitaji ni makubwa ambapo kila mkoa vinahitajika.

"Nataka mjiongeze hakutakuwa na msamaha kwa yeyote atakayesababisha wanafunzi kukosa madarasa wakati hela tayari zimeshatolewa, sitahitaji kusikia eti vifaa viliisha, ndio maana nasema mjiongeze mtoe oda mapema."Alikaririwa Mkuu wa Mkoa.

Naye Alhaji Juma Kilimba Mwenyekiti wa CCM Mkoa akawataka viongozi wote wa chama Mkoa, Kata na tarafa kuhakikisha wanasimamia na kuhimiza wananchi kushiriki nguvu kazi ili kuhakikisha kwamba wanafunzi wote wanapata madarasa ifikapo tarehe 15 Desemba mwaka huu.

Pia amewataka mafundi wote mkoani hapo waliochaguliwa kufanya kazi hizo kuongeza idadi ya mafundi na vibarua ili kazi zisikwame na ziweze kukamilika kwa wakati.

Mkuu wa Wilaya hiyo Rahabu Magesa, akasisitiza kwamba wamejipanga kutembea mashule yote ambayo wanaendelea na Ujenzi wa vyumba vya  madarasa ili kusimamia na kuhakikisha zoezi linafanikiwa kama ilivyopangwa.

Mwisho

Announcements

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI MIRADI SINGIDA DC,MHE DENDEGO ATOA MAAGIZO

    May 13, 2025
  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • View All

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
More Videos

Quick Links

  • Press Release
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • SINGIDA RS PROCUREMENT NOTICE
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Related Links

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    SINGIDA

    Postal Address: P O BOX 5 SINGIDA

    Telephone: 2502170, 2502089

    Mobile: 2502170, 2502089

    Email: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.