• Contact Us |
    • Complaints |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Blog |
Singida Regional Website

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Singida Regional Website

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
    • Regional Leaders
  • Administration
    • Regional Secretariet Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Planning and Coordination
      • Economy and Production
      • Infrustructure
      • Local Government
      • Health
      • Education
      • Water
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Services
      • Procurement and Supply
  • Districts
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • LGA
    • Ikungi DC
    • Iramba DC
    • Itigi DC
    • Manyoni DC
    • Mkalama DC
    • Singida DC
    • Singida MC
  • Investiment Opportunity
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Mining
  • Our Services
    • Health
      • Medical Specialists
      • Clinical Services
      • Preventive Care
      • Social Welfare
      • Environmental Health
      • Nutrition
    • Education
    • Water
    • Agriculture
  • Publications
    • Bylaw
    • Customer Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • Investment Guide
  • Media Center
    • Gallery
    • Videos
    • Speeches
    • Press Release

HALMASHAURI SABA ZA MKOA WA SINGIDA ZAVUNJA REKODI UKUSANYAJI MAPATO, SERIKALI YA MKOA YAPONGEZA.

Posted on: July 30th, 2024

Halmashauri Saba za Mkoa wa Singida zimevuka lengo la ukusanyaji wa mapato ya ndani kutoka asilimia 90 kwa miaka ya nyuma hadi kufikia asilimia 101 kwa kukusanya Bilioni 21.32 kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023.

Halmashauri hizo ni Ikungi, Mkalama, Singida, Iramba, Manyoni, Itigi na Manispaa ya Singida.

Katika Hotuba yake ya kufungua Kikao cha Ushauri cha Mkoa (RCC) ambapo angenda lengwa ikiwa ni Ukusanyaji Maoni kuhusu Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 mkoa wa Singida, Mkuu wa mkoa huo Mheshimiwa Halima Dendego, amesema malengo hayo yamefikiwa kutokana na mipango na mikakati madhubuti ikiwemo uanzishaji wa vyanzo vipya vya mapato na ushirikiano mzuri kati ya Watendaji na Viongozi wao.

“Nawapongeza kwa hatua hizi mlizochukua kwa kuvuka malengo katika ukusanyaji wa mapato ongezeni bidii zaidi katika ukusanyaji, Amesisitiza Dendego.

Dendego pia amezipongeza Halmashauri za mkoa wa Singida kwa kupata hati safi katika ukaguzi.

Kuhusu fedha za Miradi ya Maendeleo, Mkuu huyo wa mkoa wa Singida ameishukuru Serikali Kuu kwa kuupatia mkoa wa Singida Bilioni 241 sawa na asilimia 105 hadi kufikia Juni mwaka huu kwa ajili ya shughuli za utawala na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

Amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, amevunja rekodi ya kuupatia mkoa wa Singida fedha nyingi za miradi ya maendeleo ikilinganishwa na miaka mingine ambapo katika mwaka wa fedha wa 2022/2023 mkoa iliidhinishiwa zaidi ya Bilioni 230 lakini umepewa fedha zaidi ya bilioni 241 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

“Sijawahi kuona katika miaka yangu ya Uongozi kwa Serikali kutoa fedha zaidi ya tulizoomba lakini kwa Rais Samia hili limewezekana Tunamshukuru Sana tena sana,” Amesisitiza Dendego.

Kuhusu miradi ya Umwagiliaji, Mkuu wa mkoa wa Singida Halima Dendego amesema Serikali inaendelea kukarabati na kujenga miradi mipya ya umwagiliaji ili kuongeza tija katika uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara.

Amesema kwa sasa utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umwagiliaji inaendelea vizuri ukiwemo mradi wa skimu ya umwagiliaji ya Mkalama na Msange katika Halmashauri ya wilaya ya Singida kwa gharama ya zaidi ya shilingi bilioni 55.

Dendego ameeleza kuwa miradi hiyo Miwili ya umwagiliaji ikikamilika itaufanya mkoa wa Singida kuwa na hekta 4000 za umwagiliaji hali ambayo itaongeza maradufu shughuli za uzalishaji wa mazao mbalimbali ya chakula na biashara.

Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dkt. Fatuma Mganga akizungumza kwenye kikao cha kusanyaji Maoni kuhusu Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 mkoa wa Singida.

Kikao cha ukusanyaji wa maoni kuhusu dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kikiendelea.



Announcements

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI MIRADI SINGIDA DC,MHE DENDEGO ATOA MAAGIZO

    May 13, 2025
  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • View All

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
More Videos

Quick Links

  • Press Release
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • SINGIDA RS PROCUREMENT NOTICE
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Related Links

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    SINGIDA

    Postal Address: P O BOX 5 SINGIDA

    Telephone: 2502170, 2502089

    Mobile: 2502170, 2502089

    Email: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.