• Contact Us |
    • Complaints |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Blog |
Singida Regional Website

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Singida Regional Website

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
    • Regional Leaders
  • Administration
    • Regional Secretariet Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Planning and Coordination
      • Economy and Production
      • Infrustructure
      • Local Government
      • Health
      • Education
      • Water
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Services
      • Procurement and Supply
  • Districts
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • LGA
    • Ikungi DC
    • Iramba DC
    • Itigi DC
    • Manyoni DC
    • Mkalama DC
    • Singida DC
    • Singida MC
  • Investiment Opportunity
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Mining
  • Our Services
    • Health
      • Medical Specialists
      • Clinical Services
      • Preventive Care
      • Social Welfare
      • Environmental Health
      • Nutrition
    • Education
    • Water
    • Agriculture
  • Publications
    • Bylaw
    • Customer Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • Investment Guide
  • Media Center
    • Gallery
    • Videos
    • Speeches
    • Press Release

RC Mahenge Azindua Rasmi Kampeni ya Usafi Mkoa wa Singida ,

Posted on: October 30th, 2021

Mkuu wa Mkoa Singida Dkt.Binilith Mahenge leo October 30 2021 amezindua kampeni ya usafi Mkoani hapa kwa kufanya usafi Katika maeneo mbalimbali ya manispaa ya Singida ambapo amesema usafi huo utafanyika kila Siku ya  Juma mosi .
Amezindua Kampeni hiyo ikiwa ni siku ya  kumi na mbili tangu alipotoa agizo kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida  kufanyika usafi kwenye fukwe za maziwa ya Singidani na Munangi wakati wa ziara yake ya kikazi aliyoifanya mwanzoni mwa mwezi huu.
Akizindua kampeni hiyo Katika ziwa Kindai ambapo aliungana na wananchi kufanya usafi Dkt. Mahenge amesema  ni jukumu la watu wote kuhakikisha kwamba Singida inakuwa Safi  Kama njia ya  kujikinga na magonjwa ya milipuko.
Awali akisoma Taarifa Mkuu wa Idara ya mazingira  Halmashauri ya Manispaa  Arafa  Mohamedi amesema  lengo la kuzindua  kampeni ya usafi  wa mazingira ni kukumbushana na kuelimisha  kuhusu wajibu  wa kuhifadhi na kutunza mazingira kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo.
Aidha  Arafa  amesema   suala la  uzururishaji  ovyo wa mifugo katikati ya mji ni tatizo lingine linalosababisha uharibifu na uchafuzi  wa  mazingira ongezeko la watu na utiririshaji  wa  maji machafu katika  mitaro na mifereji  wakati wa mvua.
Alisema zipo jitihada  zinazofanywa na Halmashaurj ya Manispaa ya Singida  katika kukabiliana na changamoto za uchafuzi wa mazingira lakini kikubwa ni kuendeleza  juhudi  zilizoanzwa za kampeni ya usafi wa mazingira.
 
Naye Mstahiki Meya wa  Halmashauri  ya Manispaa ya Singida Yagi Kiaratu  alisema kuwa wao kama Halmashauri  watahuisha timu zote ili kuweka  ulinzi wa Maziwa yasiendelee kuharibiwa na kuvamiwa na wananchi kwani maziwa hayo  ni fahari ya Singida. 
Kwa upande wake  Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida  Zefrin  Lubuva alisema kuwa  Halmashauri ya Manispaa  ilipokea maagizo ya Mkuu wa Mkoa  ya kusafisha fukwe  za maziwa yote.
" Sisi Halmashauri ya Manispaa ya Singida pamoja na wananchi  tulipokea  maagizo yako na tunashukuru kwa kutuzindulia kampeni hii ya usafi wa mazingira   na maono yako ya Singida  safi inawezekana yatatimia",alisema  Lubuva"
Aidha Mkuu wa Mkoa  wa Singida Dkt. Binilith Mahenge   wakati akizindua kampeni hiyo alimuagiza Mkurugenzi wa Halimashauri ya Manispaa ya Singida kusimamia sheria ndogo kwa wale watakao ingiza mifugo katika maziwa hayo.
"Mkurugenzi kuanzia leo ni marufuku watu kuingiza ng'ombe kuona ng'ombe kuzagaa kandokando ya maziwa yetu kwa sababu taratibu unazo  wewe ni kuwatwanga faini tu  hatutaki kuona mifugo kwenye maziwa yetu",alisema Mahenge"
Alisema kuwa maziwa hayo ni chanzo kizuri cha mapato  kwa wale watakao kaidi agizo hilo ni kupigwa faini ya shilingi elfu hamsini  huku elfu kumi ikibaki wa mgambo na elfu 40 kuingia kwenye mapato ya Halmashauri.
Aliongeza kuwa  ni marufuku kwa wananchi kujenga vyoo ndani ya mita 60 kutoka kwenye ziwa ili kutunza mazingira na usafi wa maziwa  pamoja na walaji wa samaki wanaopatikana katika maziwa hayo.

Announcements

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • View All

Latest News

  • "SINGIDA IMEJIPANGA KUONGOZA UFAULU KITAIFA":RC DENDEGO

    June 04, 2025
  • MRADI WA TACTIC KULETA NEEMA MANISPAA YA SINGIDA.

    June 02, 2025
  • "WAHITIMU MSIBWETEKE,JIENDELEZENI KATIKA FANI ILI MJIAJIRI"-DKT.MGANGA

    May 30, 2025
  • DKT.MGANGA:"WATUMISHI MSIKUBALI KUTUMIKA VIBAYA,KUWENI NA UTAMBULISHO MZURI"

    May 27, 2025
  • View All

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
More Videos

Quick Links

  • Press Release
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • SINGIDA RS PROCUREMENT NOTICE
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Related Links

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    SINGIDA

    Postal Address: P O BOX 5 SINGIDA

    Telephone: 2502170, 2502089

    Mobile: 2502170, 2502089

    Email: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.