• Contact Us |
    • Complaints |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Blog |
Singida Regional Website

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Singida Regional Website

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
    • Regional Leaders
  • Administration
    • Regional Secretariet Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Planning and Coordination
      • Economy and Production
      • Infrustructure
      • Local Government
      • Health
      • Education
      • Water
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Services
      • Procurement and Supply
  • Districts
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • LGA
    • Ikungi DC
    • Iramba DC
    • Itigi DC
    • Manyoni DC
    • Mkalama DC
    • Singida DC
    • Singida MC
  • Investiment Opportunity
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Mining
  • Our Services
    • Health
      • Medical Specialists
      • Clinical Services
      • Preventive Care
      • Social Welfare
      • Environmental Health
      • Nutrition
    • Education
    • Water
    • Agriculture
  • Publications
    • Bylaw
    • Customer Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • Investment Guide
  • Media Center
    • Gallery
    • Videos
    • Speeches
    • Press Release

RC Singida awataka Wakuu wa Wilaya kutatua changamoto za wananchi

Posted on: February 7th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba amewataka Wakuu wa Wilaya waliotambulishwa Mkoani hapo leo kwenda kutatua matatizo na changamoto zinazowakabili wananchi katika maeneo yao ikiwemo migogoro ya ardhi pamoja na ukusanyaji wa mapato ya Serikali.

Kauli hiyo ameitoa leo wakati akihutubia Wakuu wa Wilaya wanne wa Wilaya ya Iramba, Ikungi, Mkalama na Manyoni katika ukumbi wa mikutano wa Mkuu wa Mkoa walipokuwa wakitambushwa rasmi ambapo aliwaeleza kwamba Mkoa huo una migogoro ya ardhi ambapo mingi ipo Wilaya ya Manyoni.

Amesema namna pekee ya kutatua changamoto hiyo ni kuimarisha ushirikiano baina ya viongozi na wananchi na kudhibiti vitendoo vya rushwa ili kuwapatia haki kwa kila anaye stahili.

Aidha RC Serukamba amewataka kusimamia swala la mapato kwa kuwa bado inaonekana uwepo wa  mianya ya uvujishaji wa fedha za Serikali,  ambapo ameelekeza kufanywa uchunguzi wa kina katika Biashara "services levi" minadani na leseni za biashara kwani huko ndipo penye upotevu.

Wapo wafanya biashara ambao hawatoi stakabadhi wanapofanya mauzo, wengine wanaandika risiti pasipo kuweka "carbon" hivyo kukosekana kwa kumbukumbu wanapo kaguliwa na TRA." alisema

Hata hivyo amewataka Wakuu hao kwenda kusimamia kilimo ili wakulima waendelee kuongeza eneo la kulima huku akibainisha kwamba Mkoa wa Singida umekuwa Mkoa wa pili kwa kuongeza eneo la kilimo ukiondoa Mkoa wa Morogoro.

Akimalizia hotuba yake RC Serukamba amewataka kuhakikisha wanasimamia jukumu la upandaji miti katika kingo za barabara, vyanzo vya maji, mashuleni na majumbani kwa kupitia wanafunzi wanatakiwa kugawiwa miche minne kwa kila mtu.

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida Martha Mlata akizungumza wakati wa hafla ya kuwatambulisha Wakuu wa Wilaya za Halmashauri Mkoani Singida.

Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dorothy Mwaluko akizungumza wakati wa hafla hiyo.

Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Thomas Apson, akitoa salama mara baada ya kutambulishwa.

Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Kemilembe Lwota, akitoa salama mara baada ya kutambulishwa.

Mkuu wa Wilaya ya Iramba Joshua Nassari, akitoa salama mara baada ya kutambulishwa.

Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Moses Machali, akitoa salama mara baada ya kutambulishwa.

Mkuu wa Wilaya ya Singida Mhandisi Paskas Muragili, akitoa salama mara baada ya kutambulishwa.

Picha ya pamoja

Announcements

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI MIRADI SINGIDA DC,MHE DENDEGO ATOA MAAGIZO

    May 13, 2025
  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • View All

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
More Videos

Quick Links

  • Press Release
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • SINGIDA RS PROCUREMENT NOTICE
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Related Links

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    SINGIDA

    Postal Address: P O BOX 5 SINGIDA

    Telephone: 2502170, 2502089

    Mobile: 2502170, 2502089

    Email: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.