• Contact Us |
    • Complaints |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Blog |
Singida Regional Website

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Singida Regional Website

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
    • Regional Leaders
  • Administration
    • Regional Secretariet Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Planning and Coordination
      • Economy and Production
      • Infrustructure
      • Local Government
      • Health
      • Education
      • Water
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Services
      • Procurement and Supply
  • Districts
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • LGA
    • Ikungi DC
    • Iramba DC
    • Itigi DC
    • Manyoni DC
    • Mkalama DC
    • Singida DC
    • Singida MC
  • Investiment Opportunity
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Mining
  • Our Services
    • Health
      • Medical Specialists
      • Clinical Services
      • Preventive Care
      • Social Welfare
      • Environmental Health
      • Nutrition
    • Education
    • Water
    • Agriculture
  • Publications
    • Bylaw
    • Customer Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • Investment Guide
  • Media Center
    • Gallery
    • Videos
    • Speeches
    • Press Release

Serikali yatoa power benk 200 Mkoani Singida kwa ajili ya vishkwambi vya Makarani wa sensa.

Posted on: August 24th, 2022

Serikali imetoa power benk 200 katika maeneo ambayo yanachangamoto ya ukosefu wa umeme Mkoani Singida kama sehemu ya utatuzi wa changamoto ya kuishiwa chaji kwa vishikwambi ambavyo vinatumiwa na Makarani wa Sensa ya watu na Makazi ya 2022.

Akiongea baada ya kuwatembelea Makarani hao katika Manispaa ya Singida, Singida Dc na Wilaya ya Mkalama Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba amesema Serikali imetoa Power Benk hizo kwa kuwa jana uzoefu umeonesha baadhi ya maeneo Makarani kupata changamoto baada ya vitendea kazi vyao kumaliza chaji kabla ya muda.

Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba (kushoto) akizungumza na Karani wa Sensa wakati wa ziara yake Singida Vijijini

Amesema kutokana na ukaguzi alioufanya kupitia Makarani wapata Tisa ameona zoezi linaendelea vizuri na kuna kila dalili ya kumaliza zoezi hilo ndani ya muda na kila mwananchi kufikiwa.

RC Serukamba amawaomba wananchi wa Mkoa huo kutoa ushirikiano mkubwa kwa Makarani ikiwemo kuwaruhusu kuchaji vishikwambi vyao kwenye makazi yao wakati wakiendelea kuhesabu.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Singida Mhandisi Paskas Muragili amesema zoezi linaendela vizuri na haijatokea changamoto yoyote kwa kuwa wataalamu wa tehema wamekuwa karibu na Makarani kwa ajili ya utatuzi wa changamoto yoyote itakayojitokeza.

Aidha amemhakikishia Mkuu wa Mkoa kwamba kwa upande wa Wilaya ya Singida wanategemea mafanikio makubwa kama walivyotegemea.

Mkuu wa Wilaya ya Singida Mhandisi Paskas Muragili (kushoto) akizungumza wakati wazira ya Mkuu wa Mkoa huo kujionea hali inavyoendelea kwenye zoezi la Sensa ya Watu na Makazi mkoani hapo.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Sophia Kizigo ameeleza kwamba changamoto ya kuishiwa chaji imejitokeza kwa Makarani wa Wilaya hiyo kwenye vijiji ambavyo havijapata huduma ya umeme.

Hata hivyo amemuomba Mkuu wa Mkoa katika Power benk zilizokuja Wilaya hiyo ipewe kipaumbele kwa kuwa pamoja na changamoto ya umeme kwa ajili ya kuchaji lakini bado kuna umbali wa nyumba hadi nyumba.

Kizigo amewataka wananchi ambao bado hawajahesabiwa kuhakikisha kuendelea kuwa na subira kwa kukuwa katika kipindi cha siku Tano zilizobaki watahakikisha kila mwananchi anafikiwa.

Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Sophia Kizigo akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya ziara ya Mkuu wa Mkoa huo kujionea maendeleo ya zoezi la Sensa katika mkoa wa Singida.

Aidha Mratibu wa Sensa Mkoa wa Singida Naing'oya Kipuyo amekiri kupokea power benk hizo ambazo zitakuwa msaada mkubwa kwa Makarani waliyopangiwa Vijijini ambapo hakuna Umeme.

Announcements

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI MIRADI SINGIDA DC,MHE DENDEGO ATOA MAAGIZO

    May 13, 2025
  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • View All

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
More Videos

Quick Links

  • Press Release
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • SINGIDA RS PROCUREMENT NOTICE
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Related Links

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    SINGIDA

    Postal Address: P O BOX 5 SINGIDA

    Telephone: 2502170, 2502089

    Mobile: 2502170, 2502089

    Email: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.