• Contact Us |
    • Complaints |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Blog |
Singida Regional Website

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Singida Regional Website

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
    • Regional Leaders
  • Administration
    • Regional Secretariet Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Planning and Coordination
      • Economy and Production
      • Infrustructure
      • Local Government
      • Health
      • Education
      • Water
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Services
      • Procurement and Supply
  • Districts
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • LGA
    • Ikungi DC
    • Iramba DC
    • Itigi DC
    • Manyoni DC
    • Mkalama DC
    • Singida DC
    • Singida MC
  • Investiment Opportunity
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Mining
  • Our Services
    • Health
      • Medical Specialists
      • Clinical Services
      • Preventive Care
      • Social Welfare
      • Environmental Health
      • Nutrition
    • Education
    • Water
    • Agriculture
  • Publications
    • Bylaw
    • Customer Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • Investment Guide
  • Media Center
    • Gallery
    • Videos
    • Speeches
    • Press Release

SINGIDA YAANZISHA MADAWATI YA SEKTA BINAFSI KILA HALMASHAURI.

Posted on: April 17th, 2017

Mkoa wa Singida umeanzisha madawati ya sekta binafsi katika halmashauri zake saba za Mkoa ili kuratibu changamoto na fursa zilizopo katika kuboresha sekta binafsi kwakuwa zimekuwa zikichangia uchumi wa taifa kwa kiasi kikubwa.

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi amesema hayo wakati akifungua mafunzo ya viongozi na wawezeshaji wa baraza la uwezeshaji wananchi kiuchumi kwa kanda ya kati ikijumuisha mikoa ya Singida, Dodoma, Shinyanga, Simiyu na Shinyanga.

Dkt. Nchimbi amesema sekta binafsi zimekuwa zikitoa huduma kwa wananchi na kuongeza uchumi wa taifa hivyo serikali inapaswa kuwezesha uboreshaji wa mazingira ili zifanye kazi kwa ufanisi.

Aidha amesema katika kusaidia sekta binafsi zilizopo mkoani Singida, halmashauri zote zimekubaliana kutangaza bidhaa na huduma zitolewazo na sekta hizo ili zipate fursa ya kujulikana na watanzania pamoja huduma na fursa za uwekezaji kwa kila halmashauri.

Amesema Mkoa wa Singida una fursa nyingi za uwekezaji katika kilimo, biashara, madini na utalii na mkoa wa Singida si masikini wala kame kama ambavyo baadhi ya watu wamekuwa wakidhani.

“Singida hakuna ukame, mahindi yana stawi vizuri, alizeti tunastawisha kwa wingi sana, vitunguu vizuri vinastawi kwa wingi, tuna fuga kuku wazuri wa kienyeji ambao hawaishi na husambazwa kote nchini, tuna madini ya dhahabu na aluminium, mtu akisema Singida ni kame na masikini nadhani anakosea kabisa” ameongeza Dkt. Nchimbi.

Akizungumza kuhusu uwezeshaji wananchi kiuchumi Dkt. Nchimbi amesema baraza hilo litafanikiwa endapo uwezeshaji utajikita zaidi katika kutoa elimu na kubadilisha wananchi kifikra ili waendane na kasi ya kuchapa kazi na kuwa wabunifu.

Naye mwenyekiti wa baraza la uwezeshaji Taifa, Dkt. John Jingu amesema lengo la kuanzishwa kwa baraza hilo ni kuwezesha wananchi wote wanashiriki kikamilifu katika kuchangia ukuaji wa uchumi nchini.

Dkt. Jingu amesema baraza litajikita katika kuboresha kilimo hasa cha umwagiliaji na upatikanaji wa masoko ya nafaka zinazozalishwa na wakulima na kuboresha ufugaji ili uwe wa kisasa.

Mafunzo kwa viongozi na wawezeshaji wananchi kiuchumi kutoka mikoa ya Singida, Dodoma, Manyara, Shinyanga na Geita yamefanyika Mjini Singida katika ukumbi wa Veta ambapo wakuu wa mikoa, makatibu tawala wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakurugenzi na maafisa wawezeshaji kutoka mikoa hiyo wameshiriki.

Announcements

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI MIRADI SINGIDA DC,MHE DENDEGO ATOA MAAGIZO

    May 13, 2025
  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • View All

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
More Videos

Quick Links

  • Press Release
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • SINGIDA RS PROCUREMENT NOTICE
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Related Links

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    SINGIDA

    Postal Address: P O BOX 5 SINGIDA

    Telephone: 2502170, 2502089

    Mobile: 2502170, 2502089

    Email: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.