• Contact Us |
    • Complaints |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Blog |
Singida Regional Website

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Singida Regional Website

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
    • Regional Leaders
  • Administration
    • Regional Secretariet Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Planning and Coordination
      • Economy and Production
      • Infrustructure
      • Local Government
      • Health
      • Education
      • Water
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Services
      • Procurement and Supply
  • Districts
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • LGA
    • Ikungi DC
    • Iramba DC
    • Itigi DC
    • Manyoni DC
    • Mkalama DC
    • Singida DC
    • Singida MC
  • Investiment Opportunity
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Mining
  • Our Services
    • Health
      • Medical Specialists
      • Clinical Services
      • Preventive Care
      • Social Welfare
      • Environmental Health
      • Nutrition
    • Education
    • Water
    • Agriculture
  • Publications
    • Bylaw
    • Customer Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • Investment Guide
  • Media Center
    • Gallery
    • Videos
    • Speeches
    • Press Release

TEKNOLOJIA KUTUMIKA KUFUNDISHIA WANAFUNZI MKOANI SINGIDA

Posted on: January 9th, 2025

Mkoa wa Singida umeweka mkakati wa kutumia teknolojia ya kufundisha masoko ya sayansi na Hisabati kwa kuziunganisha shule zote kwenye mtandao wa kompyuta ili Waalimu wachache waliopo wa masomo hayo waweze kufundisha shule nyingi.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Singida,Mhe.Halima Dendego  leo  wakati akihojiwa na kujibu maswali ya wananchi katika kituo cha redio cha Standard Radio ya mjini Singida katika kipindi cha "ZINDUKA" kuhusu mambo mbalimbali yaliyoyofanywa na serikali kwa mwaka uliopita na mikakati iliyopo kwa mwaka huu.

Amesema mkakati huo wa kutumia teknolojia kufundisha kwa masomo ya Sayansi na Hisabati ifikapo Juni mwaka huu 2025 shule zote hususani za Sekondari zitakuwa zimeunganishwa kwenye mtandao wa Kompyuta  na kwamba wamekuja na teknolojia hiyo kwa lengo la kukabiliana na upungufu wa walimu.

"Tumekuwa na  upungufu wa walimu katika mkoa wetu hususani wa masomo ya Sayansi lakini Serikali kupitia Vyuo vya Ualimu imeendelea  kuzalisha walimu na Singida tumekuwa tukipata mgao wa walimu na tutahakikisha hakuna mtoto anayekosa somo fulani sababu ya upungufu wa walimu,"alisema Mhe.Dendego

Hata hivyo,Mhe.Dendego amesema ataitisha kikao na Waalimu kuzungumza nao kwani pamoja na upungufu uliopo maeneo ya mijini kuna idadi kubwa ya Waalimu huku  vijijini wakiwa wachache jambo ambalo litakwenda kupatiwa ufumbuzi ili kuweka uwiano sawa wa Waalimu katika shule zote kuanzia katika ngazi ya Kata na Vijijini.

Akizungumzia Kuhusu ukusanyaji wa mapato,alisema Halmashauri zinajitahidi sana kukusanya mapato ambapo katika robo ya kwanza zimekusanya asilimia 52 ambayo ni zaidi ya malengo  ya kukusanya ya  asilimia 50 na kuziagiza Halmashauri kuendelea kuongeza nguvu katika ukusanyaji hususani Halmashauri za Wilaya ya Iramba,Mkalama na Manispaa ya Singida.

Aidha,Mkuu wa Mkoa amewataka Wafanyabiashara kutoa stakabadhi za malipo kwa wateja wanaponunua bidhaa katika maduka yao ili kushirikiana na serikali katika mnyororo wa kukusanya mapato.

"Tunamshukuru Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha kwa ajili ya miradi mbalimbali kwenye Mkoa wa Singida na sisi kama watendaji tutaendelea kusimamia kuhakikisha fedha zinatumika kwa malengo yaliyokusudiwa," alisema.

Akizungumza kwa njia ya simu katika kipindi hicho,msikilizaji aliyejitambulisha kwa jina la Mashaka Paul ametoa pongezi kwa Mkuu wa Mkoa wa Singida kwa kuandaa mazingira mazuri ya kuwafikia wananchi katika kusikiliza na kutatua kero zao na kuahidi kushirikiana na uongozi wa Mkoa wa Singida katika mapambano ya kuhakikisha maendeleo yanapatikana kwa faida ya mtu mmoja mmoja na Mkoa kwa ujumla.


Announcements

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • View All

Latest News

  • "SINGIDA IMEJIPANGA KUONGOZA UFAULU KITAIFA":RC DENDEGO

    June 04, 2025
  • MRADI WA TACTIC KULETA NEEMA MANISPAA YA SINGIDA.

    June 02, 2025
  • "WAHITIMU MSIBWETEKE,JIENDELEZENI KATIKA FANI ILI MJIAJIRI"-DKT.MGANGA

    May 30, 2025
  • DKT.MGANGA:"WATUMISHI MSIKUBALI KUTUMIKA VIBAYA,KUWENI NA UTAMBULISHO MZURI"

    May 27, 2025
  • View All

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
More Videos

Quick Links

  • Press Release
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • SINGIDA RS PROCUREMENT NOTICE
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Related Links

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    SINGIDA

    Postal Address: P O BOX 5 SINGIDA

    Telephone: 2502170, 2502089

    Mobile: 2502170, 2502089

    Email: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.