• Contact Us |
    • Complaints |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Blog |
Singida Regional Website

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Singida Regional Website

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
    • Regional Leaders
  • Administration
    • Regional Secretariet Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Planning and Coordination
      • Economy and Production
      • Infrustructure
      • Local Government
      • Health
      • Education
      • Water
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Services
      • Procurement and Supply
  • Districts
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • LGA
    • Ikungi DC
    • Iramba DC
    • Itigi DC
    • Manyoni DC
    • Mkalama DC
    • Singida DC
    • Singida MC
  • Investiment Opportunity
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Mining
  • Our Services
    • Health
      • Medical Specialists
      • Clinical Services
      • Preventive Care
      • Social Welfare
      • Environmental Health
      • Nutrition
    • Education
    • Water
    • Agriculture
  • Publications
    • Bylaw
    • Customer Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • Investment Guide
  • Media Center
    • Gallery
    • Videos
    • Speeches
    • Press Release

Watoto 286,736 kupatiwa chanjo ya Polio Singida

Posted on: May 19th, 2022

Mkoa wa Singida unatarajia kutoa chanjo ya Polio kwa watoto 286,736 wenye umri wa Miezi sifuri mpaka 59 katika Halmashauri zote za Mkoa huo ifikapo mwishoni mwa mwezi wa Sita mwaka huu.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa huo Dk. Binilith Mahenge wakati akizindua kampeni ya utoaji wa chanjo ya Polio iliyofanyika Iguguno Mkoani hapo huku akiwataka wananchi kuwapeleka watoto wao wakapate chanjo.

Aidha RC Mahenge ametoa wito kwa Wakurugenzi na wakuu wa Wilaya kuhakikisha malengo yanafikiwa kwa kuzingatia malengo ya kila Wilaya ili kujenga Taifa lenye watu wenye Afya njema.

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Binilith Mahenge (wa katikati) akizindua kampeni ya utoaji wa chanjo ya Polio iliyofanyika Iguguno Mkoani Singida. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Sophia Kizigo na kulia ni Mganga Mkuu wa Mkoa  DK. Victorina Ludovick

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Sophia Kizigo amesema kazi yake kama Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ni kuhakikisha watu wanakuwa salama na wenye uwezo wa kuzalisha hivyo ulinzi huo utaanzia kwenye kuboresha Afya za watoto kwa kuwapatia chanjo.

Amesema Taifa lenye mafanikio ni lenye kuwajali watu wake wakiwemo watoto kwa kuwa ndio viongozi na matajiri wa kesho hivyo kwa nafasi yake amewataka wazazi kuwapeleka watoto wakapate chanjo kwa kuwa haina madhara hata kwa mtoto ambaye alishachomwa wakati alipozaliwa.

Awali akitoa taarifa kuhusu lengo la chanjo hiyo Mganga Mkuu wa Mkoa wa Singida DK. Victorina Ludovick amesema ni kwa watoto wenye miaka sifuri mpaka miezi 59 ili kuwazuia athari za mfumo wa fahamu unaosababishwa na polio.

Amesema ugonjwa huo hauna kinga ila unaweza kuzuiliwa kwa kupata chanjo ya polio kwa njia ya matone Ugonjwa ambao mtu huweza kupata kwa kunywa au kula kinyesi.

Ludovick amesema maandalizi yote yamefanyika kwa kupata vifaa na kuandaa vituo mbalimbali.

Amesema zoezi la Chanjo litatolewa kwa njia mbalimbali zikiwemo nyumba kwa nyumba huduma ya Mkoa na katika vituo mbalimbali vya Afya.

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Binilith Mahenge (wa katikati) akishiriki moja ya zoezi la kampeni ya utoaji wa chanjo ya Polio ikiwa ni ishara ya uzinduzi rasmi iliyofanyika katika Wilaya ya Iguguno Mkoani Singida Mei 19, 2022. 

Announcements

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI MIRADI SINGIDA DC,MHE DENDEGO ATOA MAAGIZO

    May 13, 2025
  • KAMATI YA LISHE YAJA NA MIPANGO KABAMBE YA UTEKELEZAJI SINGIDA

    May 12, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • View All

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
More Videos

Quick Links

  • Press Release
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • SINGIDA RS PROCUREMENT NOTICE
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Related Links

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    SINGIDA

    Postal Address: P O BOX 5 SINGIDA

    Telephone: 2502170, 2502089

    Mobile: 2502170, 2502089

    Email: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.