• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

ALIYEBAKI NA MBEGU YA ALIZETI ATAILIPA - SERUKAMBA

Posted on: March 11th, 2023

Halmashauri zenye mbegu za ruzuku za  Alizeti ambazo hawazitumii zimeelekezwa kuhamishiwa katika Halmashauri zenye uhitaji ili wakulima waendelee kuzitumia hasa katika kipindi hiki ambacho mvua zinaendelea kunyesha.

Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba ametoa ufafanuzi huo leo katika Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa ambayo imekutana katika ukumbi wa Mkutano wa Ofisi hizo baada ya Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Uchumi na Uzalishaji Selastian Beatus Choaji kueleza kwamba zipo Halmashauri ambazo walipata mbegu za ruzuku za alizeti ambazo hazikutumika.

Serukamba alitoa maelekezo kwamba kila Halmashauri ilitoa mahitaji yake ya mbegu hivyo ulipata kulingana na uhitaji wake hivyo kama Halmashauri imeona haiwezi kutumia mbegu hizo izipeleke katika Halmashauri zote uhitaji vinginevyo watazilipa.

"Singida tumepata mbegu hizi zenye ruzuku ya Serikali ki mkakati hivyo hayupo tayari kuona zikiacha kufanyiwa kazi iliyotegemewa, Mkurugenzi atakaye baki na mbegu hizi lazima alipe" Alisema Serukamba.

Aidha ametoa onyo kwa Maafisa kilimo na watendaji wa Vijiji ambao wamekaa na mbegu ofisini wakati wakulima wakiwa wanazihitaji jambo ambalo RC Serukamba amesema ifikapo Jumatatu ya kuanzia tarehe 20 Machi mwaka huu mbegu hizo ziwe zimesambazwa kwa wakulima wenye mahitaji au Halmashauri ilipe fedha za mbegu hizo.

Hata hivyo RC amewataka Watumishi hasa Maafisa kilimo  kutokaa ofisini badala yake wakawasaidie wakulima na kuhakikisha wanapata mbegu hizo.

Katibu Tawala Msaidi Selestian Choaji ameeleza kwamba zaidi ya Tani 100 za mbegu za alizeti zenye ruzuku hazijawafikia wakulima na kwamba zipo mikononi mwa watendaji wakata na Vijiji.

Serikali ya Mkoa wa Singida kupitia vikao vyake iliomba kupatiwa mbegu za alizeti zenye ruzuku ambazo wakulima wangekopeshwa halafu wangelipa wakati wa mavuno.

 

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.