• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Lishe

Lishe ni moja ya vitengo vinavyotoa huduma chini ya idara ya afya Mkoani Singida. Lengo kuu la kitengo ni kuhakikisha kuwa matatizo makuu ya lishe yanatatuliwa ili kupata jamii yenye lishe na afya bora.

Kutokana na utafiti wa Afya ya mama na Mtoto (Tanzania Demographic survey) wa 2015, ilitoa takwimu ya viashiria mbalimbali za lishe. Kwa Mkoa wa Singida Matokeo ya utafiti huo ulionesha kuwa 29% ya watoto chini ya miaka mitano wana udumavu, 4.7% wana ukondefu na 11.7% wana uzito wa chini ukilinganisha na umri wao na 36% wana upungufu wa damu.

Kwa upande wa wanawake waliokatika umri wa kuzaa(15-49 miaka),asilimia 8.8% wana ukondefu, 16% wana uzito uliozidi, 6% wana uzito mkubwa sana  na 26% wana upungufu wa damu. Pia ilionekana 64% ya kaya katika mkoa wa Singida wanatumia chumvi isiyo na madini joto.

Huduma  za  lishe zinazotolewa  katika hospitali ya Mkoa ni pamoja na;-

  • Kutambua hali za lishe kwa makundi mbalimbali katika jamii mf. Watoto,wajawazito n.k
  • Kutoa ushauri wa lishe kwa watu wenye utapiamlo.
  • Ushauri juu ya masuala ya ulishaji na unyonyeshaji  wa watoto wachanga na wadogo.
  • Kutoa ushauri wa ulaji unaofaa na mtindo bora wa maisha.
  • Matibabu kwa ajili ya watoto wenye utapiamlo mkali na kadiri.
  • Matibabu ya utapiamlo mkali wa wagonjwa wenye VVU.
  • Ushauri wa lishe kwa watu wenye magonjwa sugu yenye uhusiano na Lishe.
  • Ushauri wa Lishe kwa watu wenye Virusi vya ukimwi na Kifua kikuu.
  • Utoaji wa matone ya Vitamini A kwa watoto chini ya miaka 5 na madini ya chuma, foliki asidi kwa wanawake wajawazito.


Bonyeza hapa ili kupata taarifa zaidi kuhusu Lishe 

Taarifa ya Lishe-.docx

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.