• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

DKT NCHIMBI ATOA TAHADHARI KWA YANGA DHIDI YA MECHI YAKE NA SINGIDA UNITED.

Posted on: November 1st, 2017

  Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt Rehema Nchimbi ameitahadharisha timu ya Yanga kuwa ijiandane kupambana na timu ya Singida United itakayocheza uwanja wa nyumbani ikiwa imara na tayari kwa ushindi kwa kuwa timu hiyo imeingia ligi kuu kushinda na sio kushiriki.

Dkt Rehema Nchimbi ameyasema hayo mara baada ya kukagua uwanja wa Namfua Stadium ambao mechi kati timu ya Singida United na Yanga itachezwa uwanjani hapo jumamosi hii huku akisisitiza kuwa timu ya Singida United imeingia Ligi kuu kushinda na sio kushiriki wala kufanya mazoezi.

"Yanga ijiandae kufungwa, kwetu ushindi ni muhimu kwakuwa tumejipanga sawasawa kwa ajili ya ushindi, hatujaingia Ligi kuu kushiriki au kufanya mazoezi, sisi tumeingia kushinda na Yanga walitambue hilo", amesisitiza Dkt Nchimbi.

Ameongeza kuwa ana uhakika wa ushindi kwa timu ya Singida United kutokana ana ubora na maandalizi mazuri ya timu pamoja na kuchezea uwanja wa nyumba wa Namfua ambao umeboreshwa kwa viwango vya hali ya juu.

"Kwa mara ya kwanza baada ya miaka kumi na saba timu yetu itacheza mechi ya ligi kuu katika uwanja wa nyumbani, Uwanja huu ambao ni mali ya Chama cha Mapinduzi umekarabatiwa na uko katika hali bora sana", ameeleza Dkt Nchimbi.

Aidha amewataka mashabiki wote wa Singida United waliopo mkoani Singida na mikoa ya Jirani kujitokeza kwa wingi ili kutoa hamasa na kuishangilia timu yao pamoja na kushuhudia ikifanya vizuri.

Ameongeza kuwa katika mechi hiyo kutakuwa na fursa za kufanya biashara mbalimbali hivyo amewataka wafanyabiashara wote kupeleka bidhaa bora ambazo zitautangaza vema mkoa wa Singida.

Kwa upande wake Katibu wa Timu ya Singida United Abdulrahman Sima amesema timu hiyo imeshawasili mkoani Singida kwa ajili ya mechi ya jumamosi huku wakitarajia ushindi kutokana na mazoezi pamoja na hamasa ya mashabiki wake watakaojitokeza katika uwanja wa Namfua.

Sima amesema kuwa maandalizi yote yako tayari huku ukarabati wa uwanja, vyoo na vyumba vya wachezaji vikiwa katika hali nzuri, mageti yote yako imara na pia shirikisho la Mpira wa miguu nchini (TFF) wameshafanya ukaguzi wa uwanja huo.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.