• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

KATIBU TAWALA MKOA WA SINGIDA AWATAKA WASICHANA KUTUMIA UTANDAWAZI KWA KUJIFUNZA MILA NA DESTURI NZURI

Posted on: March 5th, 2023

Katibu Tawala Mkoa wa Singida Mwl. Dorothy Mwaluko ameongoza mdahalo katikaShule ya Sekondari ya Wasichana Tumaini iliyopo Wilaya ya Iramba Tarehe 05 Machi, 2023.

Moja ya Mada iliyojadiliwa ni Mila na Desturi za Msichana wa Kitanzania katika Ulimwengu wa Kidigitali.

"Mila na Desturi zipi zinapaswa kuenziwa na msichana wa kitanzania na zipi zinapaswa kuachwa na msichana wa kitanzania".

Washiriki ambao ni Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Tumaini wamesema mila na Desturi zinazopaswa kuachwa kwa msichana wa kitanzania ni pamoja na kuozesha watoto wa kike wakiwa na umri mdogo, ukeketaji kwa watoto wa kike, kutokuwapeleka shule watoto wa kike na mengineyo.

Mila na Desturi zinazopaswa kuenziwa kwa watoto wa kike ni pamoja na kutokushiriki tendo la ngono kwa msichana akiwa na umri mdogo, kushiriki shughuli za maendeleo, kusoma kwa bidii na kupata elimu kwa usawa.

"Watoto wa kike mnapaswa kuwa wasafi wakati wote hasa nyakati za hedhi na ioneni kama ni hali ya kawaida ili muendelee na masomo mnapokua katika hali hiyo" Mwl. Dorothy Mwaluko

Kuweni wajasiri kwa kuwa na misimamo na kuhakikisha mnatimiza ndoto zenu, pamoja na changamoto mnazopitia lakini hakikisheni mnasoma kwa bidii na maarifa ili kutimiza ndoto zenu. Amesisitiza Mwl Mwaluko

Aidha amewataka Watoto wa kike kutumia utandawazi kwa kujifunza mila na desturi nzuri za Kitanzania ili muendelee kuzidumisha kwenye maisha yao ya kila siku  na sio kutumia utandawazi vibaya.

Mwaka huu Singida inafikisha miaka 60 hivyo tutakua na maadhimisho hayo kimkoa yatakayo fanyika Oktoba, hivyo ametumia fulsa hiyo kuwaomba wajiandae kwa midahalo, maonesho ya mavazi na burudani zingine ili siku hiyo iwe yenye shamrashara furaha na nderemo.

Naye Katibu wa Chama cha Walimu Mkoa wa Singida Mwl. Digna Nyaki amesema wataendelea kuhakikisha malezi ya watoto wao yanakua mazuri na kuwalinda watoto wa kike ili kujenga Taifa la bora lenye amani uzalenda na utulivu.

Hata hivyo Mwl. Nyaki amesema watahakikisha watoto wa kike wanapata elimu kwa usawa bila kubaguliwa maana watoto wa kike wana haki sawa na watoto wa kiume.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KILIMO CHA MASHAMBA YA PAMOJA YA KOROSHO, WILAYA YA MANYONI – SINGIDA May 02, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Manyoni watakiwa kupima viwanja ili kufidia madeni.

    March 22, 2023
  • "Wekeni kumbukumbu kwenye majalada ziwasaidie kutoa taarifa sahihi" - RC Serukamba.

    March 22, 2023
  • Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Mkoani Singida laja na mikakati ya Ukombozi Mwanamke kiuchumi.

    March 15, 2023
  • ALIYEBAKI NA MBEGU YA ALIZETI ATAILIPA - SERUKAMBA

    March 11, 2023
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Singida. Haki Zote Zimehifadhiwa.