• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

KUWAFANYA WATOTO WETU KUWA SALAMA NI WAJIBU WETU

Posted on: October 25th, 2024

Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida,Daktari Fatuma Mganga amewaasa wadau Kuendelea kuwajibika katika kuhakikisha usalama wa  watoto,vijana na familia zinazoguswa na mradi wa  USAID-Kizazi hodari kwa kupatiwa huduma stahiki kwa mafanikio chanya kwa mnufaika mmoja mmoja na jamii kwa ujumla.

      Ameyasema hayo aliposhiriki katika kikao cha mrejesho wa mradi wa USAID,Kizazi hodari kanda ya kaskazini Mashariki chenye lengo la kutoa mrejesho wa utekelezaji wa mradi kwa mwaka 2024 katika Halmashauri nne,  kujadili na  kuweka mikakat ya utekelezaji wa shughuli za mradi kwa mwaka mpya 2025 na kutambulisha Halmashauri ya Itigi iliyoongezwa kwenye utekelezaji wa Mradi huo kwa mwaka wa fedha 2025.

"Tuna wajibu wa kuwafanya watoto wetu wawe salama, wenye furaha wakati wote kwa kuwapenda,kuwajali na kuhakikisha wanafikia ndoto zao wakiwa na uzalendo na kujivunia kuwa Watanzania.Tukatekeleze mradi huu kwa tija na ushirikiano katika kuhakikisha matokeo makubwa kwenye kuibua Watoto wote wanaohitaji huduma na kuhakikisha wote wanapatiwa huduma muhimu" alisema Daktari Fatuma Mganga.

Lengo la mradi huu ni  kuboresha na kuimarisha Afya na Ustawi wa Watoto, Vijana na Kaya zao walioathiriwa /kuathirika na Virusi vya Ukimwi. Lengo likitegemea kufikiwa kwa huduma mbalimbali zinazotolewa na mradi huo ikiwemo afya, lishe, msaada wa kisaikolojia, ulinzi na usalama wa mtoto, uimarishaji uchumi wa kaya na elimu kupitia mfumo jumuishi wa kitaifa wa usimamizi wa Mashauri ya watoto.

Pia amepongeza uongozi wa makao makuu ya KKKT  kwa kuendelea na utekelezaji wa mradi huo ambao Mkoa wa Singida ni sehemu ya wanufaika wa mradi huo katika wilaya za Ikungi, Manyoni, Iramba na Manispaa ya Singida .

 Kwa mwaka wa fedha 2024  jumla ya walengwa 8,185 walifikiwa na kupewa huduma sawa na asilimia 119 ya 6,890 waliopangwa kufikiwa na kupewa huduma huku mwaka 2025 mradi ukipanga kuwafikia Jumla ya walengwa10,389  katika Halmashauri tano za mradi wenye kaulimbiu isemayo," Kizazi Hodari - Taifa Endelevu’"


Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.