• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

MAGARI MAPYA WILAYANI,UTENDAJI KUIMARIKA!

Posted on: May 19th, 2025

Serikali imekabidhi magari yenye thamani ya Sh.Bilioni 1.009 kwa wakuu wa Wilaya nne za Mkoa wa Singida ili kurahisisha utendaji kazi katika kuwahudumia wananchi.Wakuu wa wikaya waliopata magari hayo ni Ikungi,Iramba,Singida na wilaya ya Manyoni.

Tukio hilo limefanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida leo Mei 19,2025 likishuhudiwa na Katibu Tawala wa Mkoa,Wakuu wa Wilaya,Wakuu wa Sehemu na vitengo na watumishi wengine.

Mkuu wa Mkoa wa Singida,Mhe.Halima Dendego, amekabidhi magari hayo kwa Wakuu wa Wilaya za Ikungi, Iramba, Manyoni na Singida na kufanya idadi ya magari yaliyotolewa kwa mkoa huu kwa kipindi cha miaka miwili kufikia yenye thamani ya Sh.bilioni 2.695.

"Wakati tunasubiri magari haya wapo wakuu wa idara na vitengo tuliwanyima fursa ya kuwa na vyombo vya usafiri ili kuwawezesha ma-DC kufanya kazi leo tunarudisha nguvu kwenye sekretarieti ya Mkoa wa Singida na yenyewe iungane na Sekretarieti ya Mkoa, Katibu Tawala Mkoa na Mkuu wa Mkoa katika kuwafikia wananchi," amesema Mhe.Dendego.

Mhe.Dendego ametaka magari hayo kutunzwa vizuri sambamba na kuzingatia ratiba ya matengenezo (service) kama taratibu zilivyowekwa ili yaweze kudumu muda mrefu kwani Serikali imetumia fedha nyingi katika kuyanunua kwa lengo la kuhakikisha yanafanya kazi za maendeleo kwa jamii zilizokusudiwa.

Naye Katibu Tawala Mkoa wa Singida,Dkt.Fatuma Mganga, amesema kuwa katika mwaka wa fedha wa mwaka jana ,Mkoa huu ulikuwa na changamoto kubwa ya ukosefu wa magari kwa ajili ya viongozi wandamizi wa serikali.

"Tunamshukru sana Rais Dk.Samia Suluhu Hassan sasa hivi tumepata gari ya Mkuu wa Mkoa yenye thamani ya Sh.milioni 470, gari ya Katibu Tawala Mkoa ya Sh.milioni 393 na jumla magari yote tuliyopata kama mkoa yana thamani ya jumla ya Sh. bilioni 2.695," amesema.

Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Thomas Apson,akizungumza kwa niaba ya wakuu wa wilaya alisema magari waliyopewa yatawasaidia utendaji kazi na kuwafikia wananchi kwa haraka kuwahudumia.

"Kwa kweli Tunamshukru sana Mheshimiwa Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa magari hayo hakika ni gari za kazi kweli ambazo zinatuwezesha kufika mahali popote walipo wananchi na kuwahudumia ipasavyo,"alisema Apson.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MIRADI WILAYANI ITIGI KUNUFAISHA MAELFU YA WANANCHI.

    May 21, 2025
  • KAMATI YA USHAURI NA KLINIKI YA SHERIA YAZINDULIWA SINGIDA

    May 19, 2025
  • MAGARI MAPYA WILAYANI,UTENDAJI KUIMARIKA!

    May 19, 2025
  • SERIKALI KUU YAMWAGA FEDHA ZA MIRADI MANISPAA YA SINGIDA

    May 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.