• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

MASHAMBA YA VIONGOZI KUWA DARASA KWA WANANCHI.

Posted on: February 1st, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mhe.Halima Dendego, amewagiza viongozi wote mkoani hapa kuhakikisha kila mmoja anakuwa na shamba ili wananchi wajifunze kwao badala ya kuwahimiza walime ilhali hawajihusishi na kilimo. 

Ametoa agizo hilo wakati wa kikao cha kupata taarifa kuhusu mgao wa mbegu za alizeti zenye ruzuku   zilizoletwa mkoani Singida ambacho kiliwashirikisha wakuu wa wilaya,wakurugenzi wa halmashauri,wenyeviti wa halmashauri na maafisa kilimo.

"Tusiwe tunaimba wimbo wa kilimo wakati sisi wenyewe hatulimi, tukubaliane hapa kuanzia mkoani,wilayani hadi kwenye kata kila mmoja angalau awe na shamba la ekari moja litakuwa ni shamba darasa kwa wananchi kufika kujifunza ili waone mbolea na mbegu zinavyofanya kazi," alisema.

Mhe.Dendego ameagiza mbegu za alizeti zilizoletwa mkoani Singida zikishafika wilayani zisambazwe haraka kwa wakulima ili kilimo cha zao hilo kiweze kuanza mara moja.

Amesema viongozi wa Wilaya zote waendelee kuwahamasisha wananchi kulima ili kuwango cha uzalishaji wa alizeti kiongezeke katika msimu huu wa kilimo kwani Mkoa wa Singida unategemewa kwa ajili ya uzalishaji wa mafuta ya alizeti.

Mkuu wa Mkoa alisema katika msimu wa kilimo mwaka huu, Mkoa umepanga kulima ekari 1,025,641 za alizeti na kupata mavuno tani 1,000,000.

Mhe.Dendego amesema kulingana na ekari hizo zinazotarajia kulimwa kunahitajika mbegu za alizeti tani 2051 ambapo mpaka sasa kwenye halmashauri kuna tani 101.814 mbegu za alizeti

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Ally Mwanga ameiomba Serikali iangalie namna ya kulegeza masharti ili wananchi ambao hawana fedha taslimu wakopeshwe na waje walipe baada ya kuvuna mazao.


Mwisho

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • "WAHITIMU MSIBWETEKE,JIENDELEZENI KATIKA FANI ILI MJIAJIRI"-DKT.MGANGA

    May 30, 2025
  • DKT.MGANGA:"WATUMISHI MSIKUBALI KUTUMIKA VIBAYA,KUWENI NA UTAMBULISHO MZURI"

    May 27, 2025
  • ANUANI ZA MAKAZI KUJA NA FURSA LUKUKI ZA MAENDELEO KWA WANANCHI

    May 26, 2025
  • WANAFUNZI NI SALAMA CHINI YA MRADI WA SHULE BORA .

    May 26, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.